WAZIRI MKUU BORIS JOHNSON APELEKWA ICU

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amepelekwa katika chumba cha kuhudumia wagonjwa mahututi ICU baada ya hali yake kiafya kuwa mbaya kwa siku kumi zaidi kwasababu ya ugonjwa wa virusi vya Corona, kwa mujibu wa msemaji katika makazi ya Waziri Mkuu.
Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati hali yake ya kiafya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi
5 years ago
Michuzi
Virusi vya corona: Waziri Mkuu Boris Johnson apelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi

Bwana Johnson amemuambia Waziri wa mambo ya nje Dominic Raab kuchukua usukani "pale ambapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo", msemaji ameongeza.
Waziri Boris ,mwenye umri wa miaka 55, alilazwa katika hospitali ya St Thomas mjini London wakati...
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Coronavirus: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ni lazima apumzike, asema baba yake
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson akutwa na coronavirus
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Boris Johnson amesema 'hali ingeweza kwenda mrama'
5 years ago
Mirror Online11 Mar
Prince Harry hoax call in full from Megxit agony to thoughts on Trump and Boris Johnson
5 years ago
The Guardian19 Feb
Dave attacks Boris Johnson in Brit awards performance: 'Our prime minister's a real racist'
5 years ago
indy10019 Feb
Former Tory minister Baroness Warsi praises Dave after he called Boris Johnson 'a real racist'