Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIRTHDAY YA DIAMOND POMBE, MADEMU USIPIME!

Musa mateja Usipime! Ndugu, jamaa na marafiki wa staa bab’kubwa Afrika Mashariki na Kati, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, wikiendi iliyopita wamekula bata la hatari katika sherehe ya kuzaliwa kwa msanii huyo, Ijumaa Wikienda linaripoti.
Burudani na raha hizo zilifanyika nyumbani kwa Diamond, Madale- Tegeta jijini Dar, usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita na kuhudhuriwa na mastaa kibao. ‘Diamond...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Birthday ya Wema jana: Diamond amnunulia gari jipya kama zawadi ya birthday

Jumapili ya September 28 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa mrembo aliyebeba taji la Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. katika kusheherekea siku hiyo mpenzi wake Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz alithibitisha kwa vitendo kuwa mapenzi yao bado yako imara, kwa kumnunulia zawadi ya gari jipya aina ya Nissan.

wema6

Picha ya gari hilo la rangi nyeusi iliambaatana na ujumbe mzuri ambao Diamond alimwandikia wema kupitia akaunti yake ya Instagram yenye followers 236,841.

“Nlitama nikupe vingi, wenda...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Queen Darlin: Simtafutii ‘mademu’ Diamond

MSANII wa muziki wa bongo fleva ambaye pia ni dada wa msanii anayetamba kwa sasa Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, Mwajuma Abdul ‘Queen Darlin’ amekanusha tuhuma za kuwa ana mtindo wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mapokezi ya Diamond usipime

Polisi jijini Dar es Salaam jana walilazimika kuingilia kati msafara wa mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya vurugu kutokea wakati mashabiki wakimlaki aliporejea nchini akitokea Afrika Kusini alikoshinda tuzo tatu za Channel O Music Video Awards.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AKAMILISHA ‘TAKEU’ KWA MADEMU

Stori: Hamida Hassan
Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ amekamilisha ‘TAKEU’ kwa mademu baada ya kufanikiwa kutembea na mademu wanaosifika kwa uzuri kutoka Tanzania, Kenya na Uganda. Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’. Historia inaonesha dogo huyo kutoka Tandale aliwahi kufanya kazi na msanii mrembo kutoka nchini Kenya, Avril na ikadaiwa licha ya kukutana kikazi jamaa alimsaliti mpenzi...

 

10 years ago

GPL

CHUMBA CHA MTOTO WA DIAMOND USIPIME!

Musa mateja Staa wa Bongo Fleva Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wameandaa chumba maalum cha mtoto wao wa kike ajaye na kuweka vifaa na vitu vya gharama kubwa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1IuEnf2

 

9 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY DKT. JOHN POMBE MAGUFULI

Mgombea wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli. LEO  ni siku ya kuzaliwa ya mgombea wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli. Tunakutakia maisha marefu na yenye mafanikio kwa Watanzania wote. Dkt John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa siku ya Alhamis, Oktoba 29, 1959. Tunakutakia maisha marefu na yenye mafanikio kwa Watanzania wote. ...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND USIPIME, ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV‏

Diamond akiwapa burudani mashabiki wake. Shabiki akicheza wimbo wa Mdogo Mdogo.…

 

10 years ago

CloudsFM

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani