Queen Darlin: Simtafutii ‘mademu’ Diamond
MSANII wa muziki wa bongo fleva ambaye pia ni dada wa msanii anayetamba kwa sasa Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, Mwajuma Abdul ‘Queen Darlin’ amekanusha tuhuma za kuwa ana mtindo wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZahK2JNbKSupkc0FWo3wkfM2L6bbTMI7d*pNhMYPK3WDJ1eeQAQ7tPQm*MfRuWTXwKkkQ9DRF72EfZYc36rRi9oEm9V6hm48/dimond.jpg?width=650)
BIRTHDAY YA DIAMOND POMBE, MADEMU USIPIME!
Musa mateja Usipime! Ndugu, jamaa na marafiki wa staa bab’kubwa Afrika Mashariki na Kati, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, wikiendi iliyopita wamekula bata la hatari katika sherehe ya kuzaliwa kwa msanii huyo, Ijumaa Wikienda linaripoti.
Burudani na raha hizo zilifanyika nyumbani kwa Diamond, Madale- Tegeta jijini Dar, usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita na kuhudhuriwa na mastaa kibao. ‘Diamond...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YLaeso7tISCuUceMOAnr-QS4oVn-2VjTFYNupv2dTv*Gakq4jWYvUvoLXhKAl*W4yj9WHd79ZdEp4gWIes-9t-b*lqVAsRb5/avra.jpg)
DIAMOND AKAMILISHA ‘TAKEU’ KWA MADEMU
Stori: Hamida Hassan
Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ amekamilisha ‘TAKEU’ kwa mademu baada ya kufanikiwa kutembea na mademu wanaosifika kwa uzuri kutoka Tanzania, Kenya na Uganda. Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’. Historia inaonesha dogo huyo kutoka Tandale aliwahi kufanya kazi na msanii mrembo kutoka nchini Kenya, Avril na ikadaiwa licha ya kukutana kikazi jamaa alimsaliti mpenzi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Queen-Darleen-Birthday-1.jpg?width=650)
DIAMOND AMZAWADIA GARI QUEEN DARLEEN
Diamond (wa tatu kutoka kushoto), akiwaongoza wenzake kwa kumuimbia wimbo wa birthday dada yake. Queen Darleen akimshukuru kwa zawadi ya gari Diamond. Queen Darleen akimlisha keki Diamond.…
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9dJtkXGK26pnUJ5gV23FLWxDSI48yjY9KdwsyeGCoOMKFp*jBi8ZcHtVTa0HuIIBikL0EtNDu5*z88KhA825hwT/BABAD.jpg?width=650)
BABA DIAMOND: QUEEN DARLEEN NAYE KANISUSA
Baba wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Juma. MAYASA MARIWATA NA GLADNES MALLYA BABA wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Juma amesema kuwa, anaumia kuona hata binti yake Mwajuma Abdul ‘Queen Darleen’ sasa kamsusa kama ilivyo kwa kaka yake (Diamond). Queen Darleen. Akizungumza na paparazi wetu, Mzee Abdul alisema: “Nashindwa kuelewa nini kimemsibu binti yangu huyu maana kipindi cha nyuma alikuwa...
10 years ago
Bongo526 Nov
New Video: Tiwa Savage — My Darlin’
Muimbaji wa kike kutoka Nigeria, Tiwa Savage ameachia video mpya ya wimbo wake uitwao My Darlin’. Itazame hapa
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/wwf09xtoQHU/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mClk6LlNRyvymlyftvlIUIwNY*hoYd9t8qYFEIlBT5CB2xLuTyp*l5Buw1eOsfaVIRF3s0gyW7SZBoI4l563jt9z72dGOan1/theoppositesex.jpg?width=650)
MADENTI MNAZICHAPA KUGOMBEA MADEMU!
NIANZE kwa kuwasalimu wanafunzi wote, wa zamani na wa sasa, hasa wakati huu ambao ninafahamu wengi wenu mtakuwa katika mapumziko ya mwisho wa wiki. Ingawa kuwa watu kama mimi anko wenu, siku kama leo tunaendelea kuchapa kazi tu, hatuna wikiendi wala sikukuu. Ndiyo maana wakati nyinyi mkiwa mnafurahia sikukuu, bado siku hizo mnasikiliza redio, mnasoma magazeti na kuangalia televisheni. Wiki jana tulikutana hapa na kujadili jinsi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania