Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAPOKEZI YA DIAMOND JIJINI DAR ES SALAAM LEO


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIS WA MSUMBIJI FILIPE JACINTO NYUSI APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM

Rais Kikwete akimpokea Rais Filipe Jacinto Nyusi uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam . Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.Rais Filipe Jacinto Nyusi akipokea shada la maua baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam . Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.Rais...

 

10 years ago

Michuzi

ANGALIA MAPOKEZI YA RAIS WA UJERUMANI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LIVE KUANZIA SAA TATU UNUSU ASUBUHI HII

MAPOKEZI RASMI YA RAIS WA UJERUMANI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM KUONESHWA LIVE MTANDAONI KUPITIA TOVUTI RASMI YA IKULU KUANZIA SAA TATU NA NUSU ASUBUHI HII.
KUANGALIA MAPOKEZI HAYO NA MAMBO MENGINEBOFYA HAPA

 

9 years ago

GPL

MAPOKEZI YA DIAMOND DAR...MAFURIKO

Musa Mateja USIPIME! Mapokezi ya ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alipotua jijini Dar, juzi na tuzo tano alizojitwalia nchini Marekani yamesababisha mafuriko ya watu na kufungwa kwa baadhi ya barabara na shughuli kusimama, Risasi Jumamosi lilikuwa kwenye msafara. Soma zaidi===http://bit.ly/1jtkLmf

 

10 years ago

Dewji Blog

Diamond Motors wazindua gari jipya la Mitsubishi 2015 ASX jijini Dar es Salaam

IMG_8097

Hili ndilo gari la ASX Mitsubish jipya lililozinduliwa wiki iliyopita katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

IMG_8128

Wema Sepetu akiwasha gari Jipya la ASX Mitsubishi katika uzinduzi wa gari hilo jijini Dar es Salaam.

IMG_8126

Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mwigizaji maarufu nchini, Wema Sepetu wamesifia gari jipya la Mitsubishi ASX la mwaka 2015 linalouzwa na kusambazwa na kampuni ya Diamond Motors (Hansa Group).

Katika uzinduzi wa kutambulisha gari hilo uliofanyika mwishoni mwa wiki...

 

10 years ago

Michuzi

Taswira ya Ubungo jijini Dar es Salaam leo.

 Taswira ya kituo cha Simu 2000 Ubungo jijini Dar es Salaam leo baada ya mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria.Picha zote na Avila Kakingo,Globu ya Jamii. Barabara ya Sam Nujoma eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam leo. Licha ya mgomo wa madareva Miundombinu ya maji machafu hakuna katika kituo cha Mabasi Yaendayo mikoani cha Ubungo jijini Dar es Salaam.Hakuna kukanyaga maji ni kuruka mawe tuu. Mabasi yakiwa yameegeshwa katika Stendi kuu ya Mabasi yaendayo mikoani-Ubungo jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Uhaba wa usafiri wahatarisha usalama wa Abiria, kama walivyonaswa na kamera ya mtaa kwa mtaa leo   jijini Dar es Salaam. (Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii).

 

11 years ago

Michuzi

ajali lugalo jijini DAr es salaam leo

 Ajali hii imetokea leo jirani na shule ya sekondari ya Mkongo jijini Dar es salaam

 

10 years ago

Michuzi

usafiri wa pantoni jijini Dar es salaam leo

 Sehemu ya abiria wakisubiri kuvuka kwa pantoni kutokea Kigamboni jijini Dar es salaam. Ni dhahiri idadi ya wakaazi katika eneo hilo la Kigamboni wanaongezeka siku hadi siku na juhudi za serikali kushirikiana na mfuko wa hifadhi ya jamii wa NSSF kujenga daraja kupunguza tatizo la msongamano limekuja kwa wakati muafaka vinginevyo hali isingekuwa nzuri siku za usoni. Umati ukisubiri waliowasili kushuka kabla ya wao kuingia kwenye pantoni leo asubuhi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani