Mafuriko Dar, nyumba zajaa maji, wananchi wahaha
HALI tete imelikumba jiji la Dar es Salaam kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha tokea jana kiasi cha kusababisha mafuriko hasa katika maeneo ya mabonde huku familia nyingi zikikosa makazi baada ya nyumba wanazoishi kujaa maji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-BuYx2dqA3so/U2XcrX4mI1I/AAAAAAAArOA/0z47RLfF9eQ/s1600/1.jpg)
CDA YABOMOA NYUMBA ZAIDI YA 65 MLIMWA KUSINI DODOMA, WANANCHI WAHAHA
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Mafuriko yaikumba Mtwara, nyumba 200 zazingirwa na maji, RC atoa saa 24 yaondolewe
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Nyumba za mafuriko kuvunjwa Dar
Jonas Mushi na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameamuru kubomolewa baadhi ya nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa Buguruni kwa Mnyamani, Ilala Dar es Salaam.
Akihutubia wananchi wa eneo hilo jana, Rais Kikwete alisema nyumba hizo zitabomolewa pamoja na karavati hilo kupisha maji kupita na kulijenga upya.
“Kwa sasa tunaendelea kuvuta maji yaliyojaa kwenye makazi ya watu kwa kutumia pampu lakini baadaye itabidi...
5 years ago
MichuziBODI YA MAJI BONDE LA KATI YAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA MAFURIKO KWENYE MAZIWA YA KINDAI, MUNANG NA SINGIDANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SeliBxGnXlM/Xqq1XyZAnGI/AAAAAAALopM/byoIjNVhOjUAr0gC_ClFtjvIiW9VO7MMQCLcBGAsYHQ/s72-c/d9f1640e-fa3e-4477-a26b-6e2d6166a198%2B%25281%2529.jpg)
RC MAKONDA ATOA MSAADA WA MABATI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 476 KWAAJILI YA KUEZEKA NYUMBA 1,000 ZA WAJANE WALIOKUMBWA NA ADHA YA MAFURIKO DAR.
RC Makonda amesema hayo wakati wa Ziara ya Kukagua athari za Mvua na kubaini uwepo wa familia za Wajane ambao Nyumba zao zimechukuliwa na Mafuriko na sasa wanapitia changamoto ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s72-c/IMG_8042.jpg)
DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s640/IMG_8042.jpg)
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0u4MxY_5w9c/VSdhrga620I/AAAAAAABK7w/j0SEbMuQy_M/s72-c/KINO09.jpg)
WANANCHI WAWAPIGA NA KUWAJERUHI WATU WAWILI WALIOKUWA WAKIBOMOA NYUMBA ENEO LA KININDONI- MANYANYA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-0u4MxY_5w9c/VSdhrga620I/AAAAAAABK7w/j0SEbMuQy_M/s1600/KINO09.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Mar
Maadhimisho ya wiki ya maji mkoa wa Dar yazinduliwa rasmi,wananchi watakiwa kulinda na kutunza miundombinu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akitoa ufafanuzi kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Maji mkoani Dar es salaam.
Na Aron Msigwa, MAELEZO
Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Wiki ya maji kuanzia tarehe 16 hadi 22, Machi 2015 chini ya Kauli Mbiu isemayo Maji kwa Maendeleo Endelevu.
Maadhimisho ya mwaka huu yanatoa fursa kwa Mamlaka zinazohusika na usimamizi wa Maji nchini kutathmini huduma wanayoitoa kwa wananchi, kujenga na kuimarisha miundombinu iliyopo...
10 years ago
GPLWANANCHI WAGOMA KULIPA USHURU KWASABABU YA CHEMBA YA MAJI TAKA – AFRIKA SANA DAR