Mafuriko yasomba basi la abiria Mandera
Maafisa wa shirika la msalaba mwekundu, mjini Mandera Kenya wanasema kuwa takriban watu 35 wametoweka baada ya basi kusombwa na mafuriko
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mafuriko yasomba reli, abiria watumia mabasi
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
9 years ago
Habarileo16 Sep
Mafuriko Nyumba ya Mungu yasomba ekari 20
ZAIDI ya ekari 20 za mazao ya aina mbalimbali, ikiwamo vitunguu na mahindi pamoja na nyumba ambazo idadi yake haijulikani katika vijiji vya Jitengeni na Mvungwe wilayani Same, zimeharibiwa na mafuriko kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu.
11 years ago
KwanzaJamii11 May
Abiria apindua basi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuU0SkwhrrfkbdhvcE7r6aLQJfeqjzA5pvgEMCOnbRoE*srxIdvS-d4ykqmCr7We7CFyMoQlrMsemSzJS3*dCxGx/abiria.jpg?width=650)
ABIRIA AJICHINJA NDANI YA BASI
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Abiria afa ndani ya basi
WATU wawili wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro katika matukio tofauti, likiwemo la mmoja aliyekutwa amekufa akiwa katika basi la Kampuni ya Kilenga akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oxMeszSYfhk/Vk0SmXf-mjI/AAAAAAAIGtQ/39kEocjoe90/s72-c/10ef62b5-2be9-49b1-997a-9d0d44e18f30.jpg)
MAFURIKO YAKWAMISHA ABIRIA KOROGWE MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oxMeszSYfhk/Vk0SmXf-mjI/AAAAAAAIGtQ/39kEocjoe90/s640/10ef62b5-2be9-49b1-997a-9d0d44e18f30.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w4drBBtTOmw/Vk0SlfW9QuI/AAAAAAAIGtI/TLxrE9cwrIg/s640/105a05b0-4fd4-416e-8e0c-607983a453ea.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rMXdjns7hqY/Vk0SmykLYeI/AAAAAAAIGtU/G6AuJM71huU/s640/443413a4-9a25-4c47-99a0-92d3ffd702a2.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Abiria 18 wateketea ajali ya basi, lori
9 years ago
Habarileo03 Jan
Basi lenye abiria 42 latumbukia mtoni
WATU sita wamekufa papo hapo na wengine 25 kujeruhiwa na kulazwa hospitalini kutokana na ajali mbili tofauti. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alisema mjini hapa jana kuwa ajali ya kwanza, ilihusisha basi la abiria lililokuwa na abiria 42, ambalo liligonga kingo za daraja, likaparamia miti miwili kisha kutumbukia ndani ya mto Lukosi, Iyovi eneo la Msosa huko Mikumi wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, katika barabara kuu ya Iringa – Morogoro.