MAFURIKO YAKWAMISHA ABIRIA KOROGWE MKOANI TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oxMeszSYfhk/Vk0SmXf-mjI/AAAAAAAIGtQ/39kEocjoe90/s72-c/10ef62b5-2be9-49b1-997a-9d0d44e18f30.jpg)
Abiria waliokuwa wanasafiri na basi la Burudani lenye namba za usajili T 572 BXJ kutoka jijini Dar Es Salaam kwenda Mashewa wilayani Korogwe mkoani Tanga na abiria wa vyombo vingine vya usafiri jana walijikuta wakikwama kwa masaa mengi katika eneo la Magoma baada ya mvua zinaoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tanga kuharibu miundombinu ya barabara huku mazao mengi ikiwemo mpunga na mahindi yakisombwa na mafuriko Picha na Vedasto Msungu wa ITV
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-pslJ_saSnV4/VCWzIdnnXZI/AAAAAAAARXc/5ZWHpsJaab8/s1600/1.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM, NDUGU KINANA WILAYA KOROGWE MKOANI TANGA
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishona nguo kwenye ofisi ya Veronica Simba (kushoto) iliyopo Mombo Sokoni,kulia ni Mbunge wa Korogwe Vijijini Ndugu Stephen Ngonyani ,Katibu Mkuu alikuwa kwenye ziara ya siku moja katika wilaya ya Korogwe Vijijini ambapo licha ya kukagua miradi mbali mbali ya ujenzi wa maabara na ofisi za CCM alipata nafasi ya kuwahutubia wananchi na kuwasikiliza.  Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pslJ_saSnV4/VCWzIdnnXZI/AAAAAAAARXc/5ZWHpsJaab8/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA ZIARANI WILAYANI KOROGWE MKOANI TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pslJ_saSnV4/VCWzIdnnXZI/AAAAAAAARXc/5ZWHpsJaab8/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bluKf8aLx5g/VCW3B15vOCI/AAAAAAAARZM/ydxBplExC8U/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9Q_WKOuXuSU/Uy2fn1_fxPI/AAAAAAAFVoU/HW1yTXv4VXA/s72-c/unnamed+(36).jpg)
JK KUIFUNGUA BARABARA YA MKATA — HANDENI NA HANDENI — KOROGWE MKOANI TANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kesho anatarajiwa kuifungua rasmi barabara ya Mkata - Handeni ambayo ujenzi wake umekamilika kwa kiwango cha lami.
Kwa muibu wa taarifa kutoka Wizara ya Ujenzi, Barabara hii ina urefu wa kilometa 53.2.
Akiwa Wilayani Handeni, Rais Kikwete ataifungua pia barabara ya Korogwe – Handeni ambayo vile vile imekamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
Barabara hii ina urefu wa kilometa 65. Katika hatua nyingine mnamo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RIGOnYWMldo/Uy_9UkugZdI/AAAAAAAFV50/eA5RpNhsbcM/s72-c/Picha+Na+1.jpg)
RAIS KIKWETE AZIFUNGUA BARABARA ZA MKATA — HANDENI NA KOROGWE — HANDENI MKOANI TANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RIGOnYWMldo/Uy_9UkugZdI/AAAAAAAFV50/eA5RpNhsbcM/s1600/Picha+Na+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXRfWRaNP08/Uy_-LcNLWVI/AAAAAAAFV6E/Fxo7o_piQQc/s1600/Picha+Na+2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F0UGqkDs47c/UwRWlKa-UfI/AAAAAAAFN3E/0g_DI8VK6Qg/s72-c/unnamed+(17).jpg)
TAARIFA YA MSIBA KOROGWE TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-F0UGqkDs47c/UwRWlKa-UfI/AAAAAAAFN3E/0g_DI8VK6Qg/s1600/unnamed+(17).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mAHYQtHlLj6f*upM*Sk9zaBkBqZkWR6k9IUYphHl6ucbsTzd*grt9xkN6oNDO1XRHhtl4qbLZGNf6iQa2W33PYzP*yWuTBli/bakwatalogo.gif?width=377)
SIKUKUU YA MAULID KITAIFA KUFANYIKA KOROGWE, TANGA-BAKWATA
Sikukuu ya Maulid kitaifa inaratajia kufanyika wilayani Korogwe mkoani Tanga Januari 4 Mwaka huu. Kwa taarifa iliyotolewa katika vyombo vya habari na kusainiwa na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislaam Tanzania (Bakwata),Suleiman Said Lolila ilisema Maulid itaanza Januari 3 na kumalizika Januari 4. Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania ,Issa Bin Shaaban Simba anawatakia waislaam na wananchi kwa ujumla maulid njema. Hata hiyo Katibu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f-QZNQjsO8c/VKaGOLkCUhI/AAAAAAAG66Q/KQsFa3KezoU/s72-c/bakwata%2Blogo.gif)
SIKUKUU YA MAULID KITAIFA KUFANYIKA KOROGWE,TANGA-BAKWATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-f-QZNQjsO8c/VKaGOLkCUhI/AAAAAAAG66Q/KQsFa3KezoU/s1600/bakwata%2Blogo.gif)
Sikukuu ya Maulid kitaifa inaratajia kufanyika wilayani Korogwe mkoani Tanga Januari 4 Mwaka huu.
Kwa taarifa iliyotolewa katika vyombo vya habari na kusainiwa na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislaam Tanzania (Bakwata),Suleiman Said Lolila ilisema Maulid itaanza Januari 3 na kumalizika Januari 4.
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania ,Issa Bin Shaaban Simba anawatakia waislaam na wananchi kwa ujumla maulid njema.
Hata hiyo Katibu Mkuu Lolila aliwataka waislam wote nchini kushirikia kikamilifu...
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YATOA VIFAA 85 VITAKAVYOTUMIKA KWA AJILI YA USAFI MKOANI TANGA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kulia akimkabidhi vifaa vya 85 vitakavyotumika kwa ajili ya usafi kwenye wilaya tatu zilizopo mkoani Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto ili viweze kusambazwa maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni,hospitalini na stendi sambamba na kujenga masinki ya kunawia mikono kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari na Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Upendo Lugongo na wa...
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mafuriko yasomba basi la abiria Mandera
Maafisa wa shirika la msalaba mwekundu, mjini Mandera Kenya wanasema kuwa takriban watu 35 wametoweka baada ya basi kusombwa na mafuriko
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania