Dereva lori la mafuta afa ajalini
DEREVA wa gari la mafuta Ally Ngoma (62) amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na basi dogo la abiria.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Dereva wa bodaboda afa ajalini
DEREVA wa pikipiki, maarufi kama bodaboda, Abdul Mikidadi (33), mkazi wa Kunduchi, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kumgonga mbwa na kupoteza uelekeo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...
11 years ago
Habarileo24 Jan
Taqwa lagongana na lori, dereva afa
DEREVA wa basi la kampuni ya Taqwa, Adam Ibrahim (50) amekufa papo hapo huku abiria kumi wakijeruhi baada ya gari alilokuwa anaendesha kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi kugongana na lori katika kitongoji cha Ngonho, Kata ya Miguwa wilayani hapa.
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA MIKESE ILIYOUA DEREVA WA LORI LA MAFUTA
11 years ago
Mwananchi28 May
Dereva aporwa lori la mafuta akiwa kwenye foleni mizani
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sH8v9OXqMwA/VOs3O6gGMsI/AAAAAAAAL_A/PTdinkgWKIc/s72-c/IMG-20150223-WA0057.jpg)
LORI LA MAFUTA LATEMBEA BILA YA DEREVA MJINI MOSHI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-sH8v9OXqMwA/VOs3O6gGMsI/AAAAAAAAL_A/PTdinkgWKIc/s1600/IMG-20150223-WA0057.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dmah8pqJS9k/VOs3QIt6DGI/AAAAAAAAL_I/sA3ThVvxQ60/s1600/IMG-20150223-WA0058.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3N5vRpmGHZI/VOs3JgBg_4I/AAAAAAAAL-Q/0xofJsDm04M/s1600/IMG-20150223-WA0046.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPL11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Daktari afa ajalini
DAKTARI aliyefahamika kwa jina moja la Petu wa Hospitali ya Kisarawe, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari, eneo la Pugu-Kinyamwezi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi,...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Katibu UVCCM Arumeru afa ajalini
SIKU chache baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru kupoteza watumishi kadhaa wa Idara ya Elimu akiwemo Ofisa Elimu wake katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria na lori la mafuta, Arumeru imepata msiba mwingine baada ya jana Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wilayani humo kufa ajalini.
11 years ago
Habarileo06 May
Padre wa Kanisa Katoliki afa ajalini
WATU wawili, akiwemo Padre Martin Kapufi (37) wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda mkoani Katavi, wamekufa katika ajali ya gari, walilokuwa wakisafiria, kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Kamsisi Barabara ya Inyonga -Tabora.