Ghasia kwenye kura ya maamuzi Misri
Wafuasi wa Rais aliyeondolewa mamlakani Mohammed Morsi walizua vurugu na hata kusababisha vifo kadhaa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Raia wapiga kura licha ya ghasia Nigeria
Raia wa Nigeria wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi wa urais na ubunge ,licha ya visa vichache vya ghasia
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JHYzRIP17to/Vh57xq-F4rI/AAAAAAAH_7I/ffPYWnl2jZ0/s72-c/MAAMUZI%2BYA%2BTUME%2BYA%2BBUSARA%2BKUHUSIANA%2BNA%2BUPIGAJI%2BKURA.png)
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Korti yakataa kuzuia kura ya maamuzi Rwanda
Mahakama ya Juu nchini Rwanda imetupilia mbali kesi ya kupinga marekebisho katiba kumruhusu Rais Kagame kuwania urais muhula wa tatu.
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Kura ya maamuzi kuhusu katiba yaandaliwa Congo
Congo-Brazzaville inaandaa kura ya maamuzi leo kuhusu marekebisho ya katiba ambayo yatakayomuwezesha Rais Sassou Nguesso kuwania kwa muhula wa tatu.
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Daftari la Wapiga kura: Chadema kuchukua maamuzi magumu
Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ikisisitiza kuwa ratiba ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura itaenda kama ilivyopangwa, kamati kuu ya chama cha Demokrasi na Maendeleo imesema itachukua maamuzi magumu endapo shughuli za uboreshaji huo zitachelewa na kuharibu mchakato wa kura ya maoni.
10 years ago
KwanzaJamii29 Sep
MAAMUZI MAGUMU BUNGE LA KATIBA, KURA KUPIGWA HADI ALHAMISI
Na Emmanuel Lengwa
Hatimaye Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba (BMK) leo wanaanza kufanya maamuzi magumu kwa kupiga kura yenye lengo la kupitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa huku kukiwa na taarifa kuwa huenda masuala kadhaa likiwamo theluthi mbili yakaikwamisha.
Hatua ya upigaji kura itakayohitimishwa Alhamisi wiki hii na Ijumaa kutunga sheria ya kipindi cha mpito kabla ya katiba kuanza kutumika, inafikiwa baada ya Bunge hilo kutumia zaidi ya siku 130 mjini Dodoma wakitunga...
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
2 wauawa kwenye Ghasia Ukraine
Watu wawili wameripotiwa kuuwawa katika mji mkuu wa Ukraine Kiev katika makabiliano yaliyozuka upya kati ya polisi na waandamanaji wanaopigania demokrasia
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
20 wajeruhiwa kwenye ghasia DRC
Watu ishirini wamejeruhiwa baada ya polisi kufyatua risasi katika mji wa Bukavu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Misri: Kura ya katiba yaendelea
Raia wa Misri wameendelea na upigaji wa kura ya maoni kuhusu katiba mpya kwa siku ya pili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania