Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghasia kwenye kura ya maamuzi Misri

Wafuasi wa Rais aliyeondolewa mamlakani Mohammed Morsi walizua vurugu na hata kusababisha vifo kadhaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia wapiga kura licha ya ghasia Nigeria

Raia wa Nigeria wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi wa urais na ubunge ,licha ya visa vichache vya ghasia

 

9 years ago

BBCSwahili

Korti yakataa kuzuia kura ya maamuzi Rwanda

Mahakama ya Juu nchini Rwanda imetupilia mbali kesi ya kupinga marekebisho katiba kumruhusu Rais Kagame kuwania urais muhula wa tatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kura ya maamuzi kuhusu katiba yaandaliwa Congo

Congo-Brazzaville inaandaa kura ya maamuzi leo kuhusu marekebisho ya katiba ambayo yatakayomuwezesha Rais Sassou Nguesso kuwania kwa muhula wa tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Daftari la Wapiga kura: Chadema kuchukua maamuzi magumu

Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ikisisitiza kuwa ratiba ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura itaenda kama ilivyopangwa, kamati kuu ya chama cha Demokrasi na Maendeleo imesema itachukua maamuzi magumu endapo shughuli za uboreshaji huo zitachelewa na kuharibu mchakato wa kura ya maoni.

 

10 years ago

KwanzaJamii

MAAMUZI MAGUMU BUNGE LA KATIBA, KURA KUPIGWA HADI ALHAMISI

Na Emmanuel Lengwa Hatimaye Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba (BMK) leo wanaanza kufanya maamuzi magumu kwa kupiga kura yenye lengo la kupitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa huku kukiwa na taarifa kuwa huenda masuala kadhaa likiwamo theluthi mbili yakaikwamisha. Hatua ya upigaji kura itakayohitimishwa Alhamisi wiki hii na Ijumaa kutunga sheria ya kipindi cha mpito kabla ya katiba kuanza kutumika, inafikiwa baada ya Bunge hilo kutumia zaidi ya siku 130 mjini Dodoma wakitunga...

 

11 years ago

BBCSwahili

2 wauawa kwenye Ghasia Ukraine

Watu wawili wameripotiwa kuuwawa katika mji mkuu wa Ukraine Kiev katika makabiliano yaliyozuka upya kati ya polisi na waandamanaji wanaopigania demokrasia

 

11 years ago

BBCSwahili

20 wajeruhiwa kwenye ghasia DRC

Watu ishirini wamejeruhiwa baada ya polisi kufyatua risasi katika mji wa Bukavu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri: Kura ya katiba yaendelea

Raia wa Misri wameendelea na upigaji wa kura ya maoni kuhusu katiba mpya kwa siku ya pili

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani