Misri: Kura ya katiba yaendelea
Raia wa Misri wameendelea na upigaji wa kura ya maoni kuhusu katiba mpya kwa siku ya pili
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55KfPCJFmOal6uNoc4xbn-lqZ-RSP9Z2U4cdXkpUbQNMb7WOEhISVEgouf-EDuBaKA-qvhJEjSg1vZJ7FSSritJK/157548BFC46F474195A4A04D3E3EA8CD_w443_r1.jpg?width=550)
55% WAIPIGIA KURA KATIBA YA MISRI
Maafisa wakuu nchini Misri wamesifu sana idadi kubwa ya watu waliojitokeza kupigia kura ya maamuzi katiba mpya. Jeshi limekuwa likiwashawishi watu kupiga kura ya ndio ili kuhalalisha kuondolewa mamlakani kwa aliyekuwa Rais Mohammed Morsi. Afisa mmoja mkuu wa uchaguzi, Nabil Salib,ameambia vyombo vya habari kwamba idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ya maamuzi ilikuwa kubwa sana kinyume na matarajio ya wengi.
Siku ya pili ya...
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
55% wapigia katiba kura Misri
Maafisa wakuu nchini Misri wamesifu sana idadi kubwa ya watu waliojitokeza kupigia kura ya maamuzi rasimu ya katiba mpya.
11 years ago
BBCSwahili28 May
Kura kupigwa kwa siku ya 3 Misri
Vituo vya kupiga kura vimefungua kwa siku ya tatu nchini Misri, ambako wapiga kura wanamchagua Rais mpya.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Ghasia kwenye kura ya maamuzi Misri
Wafuasi wa Rais aliyeondolewa mamlakani Mohammed Morsi walizua vurugu na hata kusababisha vifo kadhaa.
5 years ago
CCM Blog16 Feb
MISRI YATAKA BARA LA AFRIKA LIPEWE HAKI YA KURA YA VETO
![Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya veto](https://media.parstoday.com/image/4bn16bcd07792avfrl_800C450.jpg)
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Katiba mpya yanukia Misri
Wanaounga mkono rasimu hiyo ya katiba wanasema kuwa itaimarisha demokrasia katika siku za usoni.
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
4 wafariki Misri katiba mpya ikisakwa
Waziri wa afya amesema kuwa watu 4 walifariki wakati katiba mpya ikipigiwa kura ya maoni huku wengine 15 wakijeuhiwa
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Katiba mpya italeta afueni Misri?
Wanaounga mkono rasimu ya katiba mpya wanasema kuwa itaimarisha demokrasia katika siku za usoni.
11 years ago
BBCSwahili19 Jan
98% waliunga mkono katiba mpya Misri
Mamlaka nchini Misri imetangaza kuwa katiba mpya ya taifa hilo imeungwa mkono na 98.1% ya watu waliopiga kura katika shughuli ya kura ya maamuzi wiki jana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania