Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


55% WAIPIGIA KURA KATIBA YA MISRI

Maafisa wakuu nchini Misri wamesifu sana idadi kubwa ya watu waliojitokeza kupigia kura ya maamuzi katiba mpya. Jeshi limekuwa likiwashawishi watu kupiga kura ya ndio ili kuhalalisha kuondolewa mamlakani kwa aliyekuwa Rais Mohammed Morsi. Afisa mmoja mkuu wa uchaguzi, Nabil Salib,ameambia vyombo vya habari kwamba idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ya maamuzi ilikuwa kubwa sana kinyume na matarajio ya wengi.
Siku ya pili ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

55% wapigia katiba kura Misri

Maafisa wakuu nchini Misri wamesifu sana idadi kubwa ya watu waliojitokeza kupigia kura ya maamuzi rasimu ya katiba mpya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri: Kura ya katiba yaendelea

Raia wa Misri wameendelea na upigaji wa kura ya maoni kuhusu katiba mpya kwa siku ya pili

 

11 years ago

BBCSwahili

Kura kupigwa kwa siku ya 3 Misri

Vituo vya kupiga kura vimefungua kwa siku ya tatu nchini Misri, ambako wapiga kura wanamchagua Rais mpya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghasia kwenye kura ya maamuzi Misri

Wafuasi wa Rais aliyeondolewa mamlakani Mohammed Morsi walizua vurugu na hata kusababisha vifo kadhaa.

 

5 years ago

CCM Blog

MISRI YATAKA BARA LA AFRIKA LIPEWE HAKI YA KURA YA VETO

Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya vetomwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka bara la Afrika lipewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama la umoja huo na haki ya kura ya veto (turufu).Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imesema kuwa, mwakilishi wa nchi hiyo katika Umoja wa Mataifa, Mohamed Idris ametoa ombi hilo sambamba na kuanza kikao cha duru mpya ya mazungumzo ya Baraza la Usalama kuhusu mabadiliko na ustawi ndani ya jumuiya hiyo ya kimataifa.Taarifa hiyo imesema kuwa, mwakilishi wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Katiba mpya yanukia Misri

Wanaounga mkono rasimu hiyo ya katiba wanasema kuwa itaimarisha demokrasia katika siku za usoni.

 

11 years ago

BBCSwahili

4 wafariki Misri katiba mpya ikisakwa

Waziri wa afya amesema kuwa watu 4 walifariki wakati katiba mpya ikipigiwa kura ya maoni huku wengine 15 wakijeuhiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

98% waliunga mkono katiba mpya Misri

Mamlaka nchini Misri imetangaza kuwa katiba mpya ya taifa hilo imeungwa mkono na 98.1% ya watu waliopiga kura katika shughuli ya kura ya maamuzi wiki jana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Katiba mpya italeta afueni Misri?

Wanaounga mkono rasimu ya katiba mpya wanasema kuwa itaimarisha demokrasia katika siku za usoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani