MISRI YATAKA BARA LA AFRIKA LIPEWE HAKI YA KURA YA VETO
mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka bara la Afrika lipewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama la umoja huo na haki ya kura ya veto (turufu).Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imesema kuwa, mwakilishi wa nchi hiyo katika Umoja wa Mataifa, Mohamed Idris ametoa ombi hilo sambamba na kuanza kikao cha duru mpya ya mazungumzo ya Baraza la Usalama kuhusu mabadiliko na ustawi ndani ya jumuiya hiyo ya kimataifa.Taarifa hiyo imesema kuwa, mwakilishi wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV05 Jan
GFA yataka raisi atakayelibeba bara la Afrika
Wakati siku za kufanyika kwa uchaguzi wa kumpata raisi mpya wa shirikisho la soka duniani FIFA zikizidi kuhesabika,Chama cha soka nchini Ghana GFA kimeweka masharti kuwa kitakuwa tayari kumpigia kura mgombea atayeonyesha utayari wa kuongeza timu zitakazoshiriki michuano ya kombe la dunia.
Mbali na kuongeza timu shiriki katika kombe la dunia kutoka 32 hadi 40,Mwenyekiti wa GFA Kwesi Nyantakyi amesema raisi watakayempigia kura ni muhimu atoe kipaumbele katika kulipiga jeki bara la Afrika...
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Amnesty Int imetaka kura ya Veto itumike
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Misri yataka jeshi la pamoja kuundwa
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri yataka Youtube kuondoa kanda ya dhuluma
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/aWjeoSgefw8/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi22 Aug
KKKT yataka haki, usawa Uchaguzi Mkuu 2015
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
UN yataka serikali kufanyia kazi mianya inayotishia haki za binadamu
Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bibi Mary Massay akitambulisha meza kuu wakati wa maadhimisho ya Siku ya haki za binadamu yaliyoenda sambamba na mkutano wa kujadili utekezaji wa makubaliano ya haki za binadamu nchini na maandalizi ya ripoti ijayo yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu
MRATIBU Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)...
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Misri yazuia maafisa wa haki za binadam
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_0102.jpg)
UN YATAKA SERIKALI KUFANYIA KAZI MIANYA INAYOTISHIA HAKI ZA BINADAMU