KKKT yataka haki, usawa Uchaguzi Mkuu 2015
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetaka mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu kuendeshwa kwa haki na usawa, huku likisisitiza elimu ya uraia itakayowawezesha wananchi kufanya uamuzi sahihi Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Tume yatakiwa kuhakikisha uchaguzi wa haki, usawa
Na Wandishi Wetu, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama imetakiwa kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa haki na usawa kuepuka machafuko yasitokee nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Madola, Goodluck Jonathan, alisema kufanikiwa kwa uchaguzi huo kunategemea kuwapo uwazi, haki na kufuata misingi ya utawala bora.
Alisema ili kuhakikisha amani inakuwapo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uMG6g5B-pd8/ViRnTjjKxXI/AAAAAAAIAzA/Buf_SBq1JFI/s72-c/790.jpg)
UCHAGUZI UFANYIKE KWA MISINGI YA HAKI NA USAWA- BALOZI SEIF
![](http://4.bp.blogspot.com/-uMG6g5B-pd8/ViRnTjjKxXI/AAAAAAAIAzA/Buf_SBq1JFI/s640/790.jpg)
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba kauli za baadhi ya wanasiasa wakati wanapokuwa majukwaani za kupalilia cheche za kutaka kuibua vurugu zisiwashitue Wananchi kwa vile Serikali itaendelea kuwa makini...
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/aWjeoSgefw8/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-At_LiA7quh4/VfuJsIZEpcI/AAAAAAAH5pw/PEFHZ3z7quw/s72-c/1TAMKO%2BLA%2BVIONGOZI%2BWA%2BDINI%2BKUHUSU%2BUHURU%252C%2BHAKI%2BNA%2BAMANI%2BKUELEKEA%2BUCHAGUZI%2BMKUU%2BLEO%2BTAREHE%2B17_09_2015.png)
TAMKO LA VIONGOZI WA DINI KUHUSU UHURU, HAKI NA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU LEO TAREHE 17.09.2015
9 years ago
MichuziMDAHALO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WATAKA AMANI, UMOJA NA HAKI KATIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
GPLMDAHALO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WATAKA AMANI, UMOJA NA HAKI KATIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
10 years ago
StarTV12 Jan
Kuelekea uchaguzi mkuu, KKKT yaingiwa hofu.
Na Zephania Renatus,
Moshi.
Wakati Taifa likielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT limeeleza hofu yake ya kupatikana kwa viongozi bora watakaokuwa chaguo la watanzania walio wengi.
Hofu hiyo imekuja baada ya madai ya kuwepo kwa maandalizi hafifu ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura pamoja na upatikanaji wa katiba pendekezwa kwa wananchi ambayo inaelezwa kutowafikia wananchi walio wengi ili waweza kuisoma na kuielewa...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
TLP yataka Uchaguzi Mkuu usifanyike Oktoba 25
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...