Kuelekea uchaguzi mkuu, KKKT yaingiwa hofu.
Na Zephania Renatus,
Moshi.
Wakati Taifa likielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT limeeleza hofu yake ya kupatikana kwa viongozi bora watakaokuwa chaguo la watanzania walio wengi.
Hofu hiyo imekuja baada ya madai ya kuwepo kwa maandalizi hafifu ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura pamoja na upatikanaji wa katiba pendekezwa kwa wananchi ambayo inaelezwa kutowafikia wananchi walio wengi ili waweza kuisoma na kuielewa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Aug
KKKT yataka haki, usawa Uchaguzi Mkuu 2015
10 years ago
GPL15 Sep
10 years ago
MichuziPRESS CLUB ZNZ YAFANYA UCHAGUZI NA KUSISITIZWA MAADILI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Vijimambo06 Feb
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinaingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kikitegemea kupata upinzani mkubwa kuliko wakati mwingine wowote tangu kuanza kwa siasa za mfumo wa vyama vingi nchini.Wapinzani wakienda sawa kama wanavyodai na kumsimamisha mgombea mmoja kwa kila nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani, kazi itakuwa kubwa kwao.Uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba mwaka jana ulitoa picha inayoonyesha kuimarika kwa upinzani nchini, kwani matokeo ya jumla...
10 years ago
GPL
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
10 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.
TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU. Panapo majaaliwa yake Mola, kesho tarehe 25 Oktoba, 2015; Watanzania wataelekea kwenye visanduku vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu ambao wachunguzi wengi wa kisiasa wameuita kuwa ni uchaguzi wa kihistoria. […]
The post TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Nadharia tete kuelekea Uchaguzi Mkuu
10 years ago
GPL27 Jan
10 years ago
GPLKUELEKEA UCHAGUZI MKUU MR. CHAMPIONI AGAWA ZAWADI