Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuelekea uchaguzi mkuu, KKKT yaingiwa hofu.

Na Zephania Renatus,

Moshi.

 

Wakati Taifa likielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT limeeleza hofu yake ya kupatikana kwa viongozi bora   watakaokuwa chaguo la watanzania walio wengi.

 

Hofu hiyo imekuja baada ya madai ya kuwepo kwa maandalizi hafifu ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura pamoja na upatikanaji wa katiba pendekezwa kwa wananchi ambayo inaelezwa kutowafikia wananchi walio wengi ili waweza kuisoma na kuielewa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KKKT yataka haki, usawa Uchaguzi Mkuu 2015

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetaka mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu kuendeshwa kwa haki na usawa, huku likisisitiza elimu ya uraia itakayowawezesha wananchi kufanya uamuzi sahihi Oktoba 25.

 

10 years ago

Michuzi

PRESS CLUB ZNZ YAFANYA UCHAGUZI NA KUSISITIZWA MAADILI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

 Katibu Mkuu msaafu wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) Suzan Peter Kundambi katikati akitoa taarifa ya mwaka kwa Wanachama wa Jumuiya hiyo katika mkutano wa Mwaka wa ZPC ulioambatana na uchaguzi. Mkutano huo uliofanyika ukumbi wa Ekrotanal Mjini Unguja. Wajumbe walioshiriki uchaguzi wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) wakipiga kura kuchagua uongozi mpya katika mkutano wa Mwaka wa Jumuiya hiyo ambao uliambatana na uchaguzi huo ambao uliofanyika ukumbi wa Ekrotanal...

 

10 years ago

Vijimambo

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015

Waziri mkuu Mizengo Pinda.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinaingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kikitegemea kupata upinzani mkubwa kuliko wakati mwingine wowote tangu kuanza kwa siasa za mfumo wa vyama vingi nchini.Wapinzani wakienda sawa kama wanavyodai na kumsimamisha mgombea mmoja kwa kila nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani, kazi itakuwa kubwa kwao.Uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba mwaka jana ulitoa picha inayoonyesha kuimarika kwa upinzani nchini, kwani matokeo ya jumla...

 

10 years ago

GPL

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015

Waziri mkuu Mizengo Pinda. CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinaingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kikitegemea kupata upinzani mkubwa kuliko wakati mwingine wowote tangu kuanza kwa siasa za mfumo wa vyama vingi nchini. Wapinzani wakienda sawa kama wanavyodai na kumsimamisha mgombea mmoja kwa kila nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani, kazi itakuwa kubwa kwao.
Uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba mwaka jana ulitoa...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.

TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU. Panapo majaaliwa yake Mola, kesho tarehe 25 Oktoba, 2015; Watanzania wataelekea kwenye visanduku vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu ambao wachunguzi wengi wa kisiasa wameuita kuwa ni uchaguzi wa kihistoria. […]

The post TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Nadharia tete kuelekea Uchaguzi Mkuu

Tunahitaji viongozi sahihi wa kututoa hapa tulipo. Tumekwama, maendeleo yamegota. Hii ndiyo ajenda kubwa kwenye vichwa vya watu wengi kwenye nadharia zao kuelekea uchaguzi mkuu miezi michache ijayo.

 

10 years ago

GPL

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU MR. CHAMPIONI AGAWA ZAWADI

Mr.Championi akizidi kumwaga zawadi ya sukari kwa wasomaji wa gazeti la Championi waliokutwa wakisoma gazeti hilo eneo la kituo cha daladala cha Tegeta. Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wapili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wasomaji wa gazeti la Championi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani