Misri yataka jeshi la pamoja kuundwa
Misri imetaka kuwepo kwa kikosi cha pamoja cha nchi za kiarabu kukabiliana na vikundi vya wapiganaji vinavyochipuza .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Kamati ya Zitto yataka ATCL mpya kuundwa
Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), imetoa siku 113 kwa Msajili wa Hazina (TR), Lawrence Mafuru kukamilisha mpango mkakati wa kuanzisha upya Shirika la Ndege Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka za Hifadhi za Ngorongoro na Tanapa.
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri yataka Youtube kuondoa kanda ya dhuluma
Misri imeomba YouTube kuondoa video ya mwanamke akinyanyaswa kimapenzi katika mkutano wa kisiasa Cairo
5 years ago
CCM Blog16 Feb
MISRI YATAKA BARA LA AFRIKA LIPEWE HAKI YA KURA YA VETO
![Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya veto](https://media.parstoday.com/image/4bn16bcd07792avfrl_800C450.jpg)
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Maafisa wa jeshi wauawa Misri
Maafisa 2 wa jeshi na wapiganaji 5 wa kiisilamu, wameuawa katika makabiliano ya kufyatuliana risasi wakati jeshi lilipokuwa linafanya msako nchini Misri
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Mkuu wa Jeshi ajiuzulu Misri
Mkuu wa majeshi na waziri wa ulinzi Misri, Abdul Fattah al-Sisi, amejiuzulu kugombea katika uchaguzi wa urais mwezi ujao.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Jeshi la Misri ladai kuua kimakosa
Misri imesema jeshi lake la ulinzi limeuwa raia 12 kwa bahati mbaya
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Mataifa ya kiarabu kubuni jeshi la pamoja
Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi amesema kuwa viongozi wenzake wa nchi za kiarabu wamekubali kuunda jeshi la pamoja.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-YhH1MP6N960/Vc1s1ujJUFI/AAAAAAABE9M/3eqrHzgb4xk/s72-c/POLISI%2BLOGO.jpg)
JESHI LA POLISI NCHINI LAPIGA MARUFUKU MISAFARA YA KWENDA KUCHUKUA FOMU NEC PAMOJA NA KUSAKA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-YhH1MP6N960/Vc1s1ujJUFI/AAAAAAABE9M/3eqrHzgb4xk/s640/POLISI%2BLOGO.jpg)
Jeshi la Polisi nchini limesitisha maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa wakati wa kuchukua ,kutafuta wadhamini, na kurejesha fomu za kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Naibu Inspekta Jenerali wa jeshi la Polisi Abdulrahman Kaniki amesema kuwa jeshi limechukua hatua hiyo kutokana na ukiaukwaji wa sheria za usalama barabarani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s72-c/SHANA-NA-LEMA.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LATOA ONYO KWA WAVURUGA AMANI PAMOJA NA MADEREVA WALEVI NA WASIOZINGATIA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s320/SHANA-NA-LEMA.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Arusha limetoa onyo kwa watu wachache wanaopenda kuvuruga amani katika kipindi cha sikukuu na kuwataka waache mara moja kuwa na fikra hizo kwani watachukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shana amesema kuwa kwa upande wa madereva wa vyombo vya usafiri ni marufuku kuendesha vyombo hivyo wakiwa wamelewa ,mwendokasi pamoja na kujaza abiria kupita kiasi kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yaoAidha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania