Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi la Misri ladai kuua kimakosa

Misri imesema jeshi lake la ulinzi limeuwa raia 12 kwa bahati mbaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:Jeshi latuma Kimeta kimakosa

Maabara moja ya kijeshi huko Utah imetuma zana hatari za kibayolojia za kimeta kwa kambi 9 za kijeshi na Korea Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Jeshi la Sudan Kusini 'lilibaka na kuua'

Umoja wa mataifa unasema kuwa Wajeshi wa Sudan Kusini wamewabaka kwa zamu wasichana wengi kisha wakawachoma wakiwa majumbani mwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yaporomoka na kuua 23 Urusi

Takriban wanajeshi 23 wa Urusi wameuawa karibu na mji wa Omsk ulioko Siberia baada ya jengo la kambi yao kuporomoka.

 

9 years ago

GPL

NDEGE YA JESHI LA MAREKANI YAANGUKA AFGHANISTAN NA KUUA 12

Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules iliyoanguka. Ramani inayoonesha eneo ambapo ndege hiyo ilipata ajali. Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules imeanguka usiku wa leo katika Uwanja wa Ndege wa Jalalabad nchini Afghanistan na kuua watu 12. Kanali wa jeshi la Marekani Brian Tribus ameiambia AFP kwamba watao kati ya waliokufa walikuwa wanajeshi wa Marekani, watano walikuwa raia wa… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi

>Watu wawili inadaiwa wameuawa na mmoja kujeruhiwa eneo la Pugu Kinywamwezi baada ya kupigwa risasi na ofisa mmoja wa jeshi wakati walipopanda katika gari lake huku wakishangilia kuanza kwa Mwaka Mpya wa 2014.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa Jeshi ajiuzulu Misri

Mkuu wa majeshi na waziri wa ulinzi Misri, Abdul Fattah al-Sisi, amejiuzulu kugombea katika uchaguzi wa urais mwezi ujao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa jeshi wauawa Misri

Maafisa 2 wa jeshi na wapiganaji 5 wa kiisilamu, wameuawa katika makabiliano ya kufyatuliana risasi wakati jeshi lilipokuwa linafanya msako nchini Misri

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri yataka jeshi la pamoja kuundwa

Misri imetaka kuwepo kwa kikosi cha pamoja cha nchi za kiarabu kukabiliana na vikundi vya wapiganaji vinavyochipuza .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani