Jeshi la Misri ladai kuua kimakosa
Misri imesema jeshi lake la ulinzi limeuwa raia 12 kwa bahati mbaya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 May
Marekani:Jeshi latuma Kimeta kimakosa
Maabara moja ya kijeshi huko Utah imetuma zana hatari za kibayolojia za kimeta kwa kambi 9 za kijeshi na Korea Kusini
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
UN:Jeshi la Sudan Kusini 'lilibaka na kuua'
Umoja wa mataifa unasema kuwa Wajeshi wa Sudan Kusini wamewabaka kwa zamu wasichana wengi kisha wakawachoma wakiwa majumbani mwao.
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Kambi ya jeshi yaporomoka na kuua 23 Urusi
Takriban wanajeshi 23 wa Urusi wameuawa karibu na mji wa Omsk ulioko Siberia baada ya jengo la kambi yao kuporomoka.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/ccvv.jpg)
NDEGE YA JESHI LA MAREKANI YAANGUKA AFGHANISTAN NA KUUA 12
Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules iliyoanguka. Ramani inayoonesha eneo ambapo ndege hiyo ilipata ajali. Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules imeanguka usiku wa leo katika Uwanja wa Ndege wa Jalalabad nchini Afghanistan na kuua watu 12. Kanali wa jeshi la Marekani Brian Tribus ameiambia AFP kwamba watao kati ya waliokufa walikuwa wanajeshi wa Marekani, watano walikuwa raia wa… ...
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi
>Watu wawili inadaiwa wameuawa na mmoja kujeruhiwa eneo la Pugu Kinywamwezi baada ya kupigwa risasi na ofisa mmoja wa jeshi wakati walipopanda katika gari lake huku wakishangilia kuanza kwa Mwaka Mpya wa 2014.
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Mkuu wa Jeshi ajiuzulu Misri
Mkuu wa majeshi na waziri wa ulinzi Misri, Abdul Fattah al-Sisi, amejiuzulu kugombea katika uchaguzi wa urais mwezi ujao.
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Maafisa wa jeshi wauawa Misri
Maafisa 2 wa jeshi na wapiganaji 5 wa kiisilamu, wameuawa katika makabiliano ya kufyatuliana risasi wakati jeshi lilipokuwa linafanya msako nchini Misri
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Misri yataka jeshi la pamoja kuundwa
Misri imetaka kuwepo kwa kikosi cha pamoja cha nchi za kiarabu kukabiliana na vikundi vya wapiganaji vinavyochipuza .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania