Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kambi ya jeshi yaporomoka na kuua 23 Urusi

Takriban wanajeshi 23 wa Urusi wameuawa karibu na mji wa Omsk ulioko Siberia baada ya jengo la kambi yao kuporomoka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UN:Jeshi la Sudan Kusini 'lilibaka na kuua'

Umoja wa mataifa unasema kuwa Wajeshi wa Sudan Kusini wamewabaka kwa zamu wasichana wengi kisha wakawachoma wakiwa majumbani mwao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Misri ladai kuua kimakosa

Misri imesema jeshi lake la ulinzi limeuwa raia 12 kwa bahati mbaya

 

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi la AU yavamiwa Somalia

Msemaji wa kundi la Al Shabaab anasema kuwa wapiganaji wake waliingia kwa nguvu ndani ya kituo hicho na mapigano yanaendela.

 

9 years ago

GPL

NDEGE YA JESHI LA MAREKANI YAANGUKA AFGHANISTAN NA KUUA 12

Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules iliyoanguka. Ramani inayoonesha eneo ambapo ndege hiyo ilipata ajali. Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules imeanguka usiku wa leo katika Uwanja wa Ndege wa Jalalabad nchini Afghanistan na kuua watu 12. Kanali wa jeshi la Marekani Brian Tribus ameiambia AFP kwamba watao kati ya waliokufa walikuwa wanajeshi wa Marekani, watano walikuwa raia wa… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaonya dhidi ya kutumia jeshi

Kikao cha dharura cha umoja wa mataifa chajadili kudorora kwa usalama Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Urusi laruhusiwa kwenda Crimea

Bunge la Urusi limempa idhini Rais Putin kutuma wanajeshi zaidi huko Crimea

 

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yavamiwa Mombasa,Kenya

Wanajeshi katika kambi ya jeshi ya Nyali iliopo mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewaua kwa kuwapiga risasi watu 5

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi ladhibiti Kambi Burkina Faso

Serikali ya mpito ya Burkina Faso imesema imedhibiti Kambi ya Vikosi vya ulinzi vya Rais vilivyofanya mapinduzi mapema mwezi huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yavamiwa Kinshasa DRC

Ufyatulianaji wa risasi umetokea katika kambi ya kijeshi mjini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani