GHANA YAJIPANGA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Moja ya udhaifu mkubwa unao kumba mataifa mengi hasa barani Afrika ni kutokua na mikakati ya uzuizi na endelevu dhidi ya uhalifu mtandao. Imethibitika kua Nchi nyingi zimekua zikingoja tatizo litokee ndio jitihada zinachukuliwa kutatua tatizo huku athari ikiwa imeshaonekana.
Mwaka huu baada ya Nchi ya Ghana kua miongoni mwa waathirika wa uhalifu mtandao ambapo mtandao mkuu wa serikali ya nchi hiyo inao hudumia tovuti 58 za serikali ulidukuliwa na kusababisha tovuti 11 kuingiliwa na...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo
UCHAMBUZI: NJIA ZA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Jibu ni kwamba hivi sasa uhalifu mtandao umeendelea kukua huku...
11 years ago
Michuzi
NCHI ZAUNGANISHA NGUVU KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO.

Kundi jipya lenye makao yake barani ulaya linalounganisha pamoja nchi wanachama wa bara ulaya...
11 years ago
Ykileo
KENYA KUANZISHA KITENGO MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

"Kwa mtazamo wa kuongezeka kwa uhalifu wa mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Umma (ODPP) imeanzisha kitengo maalumu kusimamia mashtaka ya wahalifu wa mtandao," Tobiko...
11 years ago
MichuziWASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
DHL yajipanga kupambana na wasafirishaji ‘unga’
KAMPUNI ya kusafirisha vifurishi (DHL) imesema imejizatiti kupambana na wasafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Meneja wa DHL Tanzania, Ahmed Abdi, alibainisha hayo jijini Dar es Salaam jana wakati wa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
MSEA yajipanga kupambana na uharibifu wa mazingira Tabora
UHARIBIFU wa mazingira katika Mkoa wa Tabora imeelezwa ni mkubwa kutokana na kukithiri kwa shughuli mbalimbali za kijamii zisizozingatia kanuni za utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa na Meneja Miradi wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Wizara yajipanga kupambana na ugonjwa wa bonde la ufa
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imesema imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wanapambana kikamilifu na ugonjwa wa bonde la ufa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Kitunda, polisi kupambana na uhalifu
KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Kitunda Gold Mining, iliyopo Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, imeahidi kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na vitendo vya kihalifu kwenye msitu wa Kitunda...
11 years ago
Ykileo
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO

Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...