Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSEA yajipanga kupambana na uharibifu wa mazingira Tabora

UHARIBIFU wa mazingira katika Mkoa wa Tabora imeelezwa ni mkubwa kutokana na kukithiri kwa shughuli mbalimbali za kijamii zisizozingatia kanuni za utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa na Meneja Miradi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

serikali yajipanga kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni nchini

Serikali kwa kupitia mkataba wa Motrial wa mwaka 1987 imejipanga thabiti katika kuhakikisha kuwa tatizo la uharibifu wa tabaka la ozini linapata suluhu Tanzania.
Mkurugenzi wa Manzingira Ofisi ya Makam wa Rais, Dk. Julius Ningu aliyasema hayo ofisini kwake katika mahojiano na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya hatua ya serikali katika kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni.
Dk. Ningu alisema kuwa kabla ya mwaka 1985 wanasayansi waligundua kumomonyoka kwa tabaka la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uharibifu mazingira tishio

ZAIDI ya theluthi mbili ya ardhi nchini imeathiriwa na uharibifu wa mazingira, hali iliyosababisha upungufu wa mvua na ongezeko la joto. Mtafiti wa Kilimo wa Taasisi ya Kartin, Abdallah Mpunga,...

 

11 years ago

Mwananchi

Washtushwa na uharibifu wa mazingira

Viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali mkoani Dodoma wamesema uharibifu wa mazingira nchini unaongezeka kwa kasi hivyo ni wakati wa Serikali na taasisi za dini kushirikiana kukabiliana na janga hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bilal akemea uharibifu mazingira

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameonya watu kuacha kujihusisha na uvuvi haramu, uchomaji moto na ukataji miti ovyo ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

 

11 years ago

Habarileo

Bilal: Pambaneni na uharibifu wa mazingira

MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, amewahimiza Watanzania kupambana na uharibifu wa mazingira, kwa sababu kwa sasa kila mtu anashuhudia athari za uharibifu wa mazingira.

 

5 years ago

Michuzi

UHARIBIFU WA MAZINGIRA KUKABILIWA NA MKAA MBADALA

Mbunifu wa mashine ya mkaa utokanao na vumbi la mbao pamoja na pumba za mpunga wa mkoani Singida, Joram Kishaluli akitoa mkaa uliotengenezwa kwa mashine maalumu.
Na, COSTECHTAARIFA ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2019 inaonesha kuwa, kwa miaka mitano iliyopita kuanzia msimu wa mwaka 2013/2014 hadi 2017/18, Tanzania imezalisha chakula kingi kuliko mahitaji yake.

Tathmini ililenga hali ya chakula, uzalishaji wa mazao ya chakula na usalama wa chakula hususani mazao muhimu yanayozingatiwa kama...

 

10 years ago

Habarileo

Kikosi chaundwa kukabili uharibifu wa mazingira

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias ChikaweWIZARA nne kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mazingira nchini wameunda kikosi maalumu kwa ajili ya kupambana na makosa ya ujangili, uvuvi haramu na ukataji miti hovyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DHL yajipanga kupambana na wasafirishaji ‘unga’

KAMPUNI ya kusafirisha vifurishi (DHL) imesema imejizatiti kupambana na wasafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Meneja wa DHL Tanzania, Ahmed Abdi,  alibainisha hayo jijini Dar es Salaam jana wakati wa...

 

10 years ago

Ykileo

GHANA YAJIPANGA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Moja ya udhaifu mkubwa unao kumba mataifa mengi hasa barani Afrika ni kutokua na mikakati ya uzuizi na endelevu dhidi ya uhalifu mtandao. Imethibitika kua Nchi nyingi zimekua zikingoja tatizo litokee ndio jitihada zinachukuliwa kutatua tatizo huku athari ikiwa imeshaonekana.


Mwaka huu baada ya Nchi ya Ghana kua miongoni mwa waathirika wa uhalifu mtandao ambapo  mtandao mkuu wa serikali ya nchi hiyo inao hudumia tovuti 58 za serikali ulidukuliwa na kusababisha tovuti 11 kuingiliwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani