MSEA yajipanga kupambana na uharibifu wa mazingira Tabora
UHARIBIFU wa mazingira katika Mkoa wa Tabora imeelezwa ni mkubwa kutokana na kukithiri kwa shughuli mbalimbali za kijamii zisizozingatia kanuni za utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa na Meneja Miradi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QEOTbQJ5XdM/VA2wQPlymCI/AAAAAAAGh4w/9Cq9yglWN3E/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
serikali yajipanga kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni nchini
Mkurugenzi wa Manzingira Ofisi ya Makam wa Rais, Dk. Julius Ningu aliyasema hayo ofisini kwake katika mahojiano na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya hatua ya serikali katika kudhibiti uharibifu wa tabaka la Ozoni.
Dk. Ningu alisema kuwa kabla ya mwaka 1985 wanasayansi waligundua kumomonyoka kwa tabaka la...
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Uharibifu mazingira tishio
ZAIDI ya theluthi mbili ya ardhi nchini imeathiriwa na uharibifu wa mazingira, hali iliyosababisha upungufu wa mvua na ongezeko la joto. Mtafiti wa Kilimo wa Taasisi ya Kartin, Abdallah Mpunga,...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Washtushwa na uharibifu wa mazingira
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Bilal akemea uharibifu mazingira
11 years ago
Habarileo01 Jun
Bilal: Pambaneni na uharibifu wa mazingira
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, amewahimiza Watanzania kupambana na uharibifu wa mazingira, kwa sababu kwa sasa kila mtu anashuhudia athari za uharibifu wa mazingira.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HvW0Yg2yvKI/XsZzf8V2iWI/AAAAAAALrHU/_0oVnWC_Y-8iVF6XSWEgIq-OdUBc9rC0wCLcBGAsYHQ/s72-c/Akionesha%2Bmashinine%2Binavyofanya%2Bkazi%2B%25281%2529.jpg)
UHARIBIFU WA MAZINGIRA KUKABILIWA NA MKAA MBADALA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HvW0Yg2yvKI/XsZzf8V2iWI/AAAAAAALrHU/_0oVnWC_Y-8iVF6XSWEgIq-OdUBc9rC0wCLcBGAsYHQ/s640/Akionesha%2Bmashinine%2Binavyofanya%2Bkazi%2B%25281%2529.jpg)
Na, COSTECHTAARIFA ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2019 inaonesha kuwa, kwa miaka mitano iliyopita kuanzia msimu wa mwaka 2013/2014 hadi 2017/18, Tanzania imezalisha chakula kingi kuliko mahitaji yake.
Tathmini ililenga hali ya chakula, uzalishaji wa mazao ya chakula na usalama wa chakula hususani mazao muhimu yanayozingatiwa kama...
10 years ago
Habarileo01 Jul
Kikosi chaundwa kukabili uharibifu wa mazingira
WIZARA nne kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mazingira nchini wameunda kikosi maalumu kwa ajili ya kupambana na makosa ya ujangili, uvuvi haramu na ukataji miti hovyo.
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
DHL yajipanga kupambana na wasafirishaji ‘unga’
KAMPUNI ya kusafirisha vifurishi (DHL) imesema imejizatiti kupambana na wasafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Meneja wa DHL Tanzania, Ahmed Abdi, alibainisha hayo jijini Dar es Salaam jana wakati wa...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-CM8TW_cEJI0/VZkFeNx4uCI/AAAAAAAABgo/1BKFCz9Q_A4/s72-c/1.jpg)
GHANA YAJIPANGA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-CM8TW_cEJI0/VZkFeNx4uCI/AAAAAAAABgo/1BKFCz9Q_A4/s200/1.jpg)
Mwaka huu baada ya Nchi ya Ghana kua miongoni mwa waathirika wa uhalifu mtandao ambapo mtandao mkuu wa serikali ya nchi hiyo inao hudumia tovuti 58 za serikali ulidukuliwa na kusababisha tovuti 11 kuingiliwa na...