Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauzaji wa kemikali waamriwa kujisajili

OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

RPC aagiza wauzaji wa tindikali kujisajili

POLISI mkoani Simiyu imewataka wauzaji wa tindikali, kujisajili kwa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, ili watambulike kisheria na kupewa utaratibu wa matumizi sahihi ya bidhaa hiyo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Charles Mkumbo, pia aliwatahadharisha wananchi wote kuwa atakayekutwa na tindikali mtaani, atakamatwa na kufikishwa mahakamani.

 

10 years ago

Habarileo

Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili

Profesa Samwel ManyeleWAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu wanne Sekondari waamriwa kuhama

WALIMU wanne wa shule ya Sekondari Kindai, Manispaa ya Singida wametakiwa kuhama mara moja. Wamepewa agizo hilo baada ya kukiri kuwa walitoa adhabu ya udhalilishaji kwa wasichana wote wa shule hiyo, kwa madai kuwa mmoja wao alitupa chooni taulo ya kike iliyotumika.

 

11 years ago

Habarileo

Wahamiaji haramu waliorejea waamriwa kuondoka haraka

Kanali mstaafu Fabiani MasaweSERIKALI mkoani Kagera imewataka wahamiaji haramu waliorudi tena nchini huku wakijiita M23 na kuteka kijiji cha Kibingo kilichoko wilayani Kyerwa huku wakiendelea kutoa vitisho kwa wananchi kuondoka mara moja kwani wakikamatwa watafikishwa mahakamani na kushitakiwa kwa kosa la ujambazi.

 

10 years ago

Habarileo

Mgodi Acacia waamriwa kuwalipa wanakijiji fidia

SERIKALI kupitia Baraza la Hifadhi ya Mazingira (NEMC) imethibitisha kuwa maji yaliyotiririka kutoka moja ya mabwawa ya maji katika mgodi wa dhahabu wa Acacia Bulyanhulu yalikuwa na sumu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mamilioni ya wakazi wa Beijing waamriwa kutotoka nje ya jiji

Shule zimefungwa tena na usafiri kusitishwa huku mji wa Beijing ukithibitisha watu 31 wa ugonjwa wa Covid-19.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MKURABITA yawataka wajasiriamali kujisajili

MPANGO wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara Tanzania (MKURABITA) umewataka wajasiriamali wadogo kusajili biashara zao na kupata mafunzo sahihi ili kufikia malengo yao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

10 years ago

Habarileo

Waganga wote watakiwa kujisajili

MSAJILI wa Baraza la Tiba Asili Zanzibar, Haji Juma Kundi amewataka waganga wote wanaotoa tiba mbadala, kujisajili kwa ajili ya kutoa huduma za tiba ili kuepuka kuchukuliwa sheria za kinidhamu.

 

10 years ago

Habarileo

Waganga tiba asili waagizwa kujisajili

BARAZA la tiba asili na tiba mbadala limetakiwa kuhakikisha waganga wote wanaotoa huduma kwa wateja wanasajiliwa ili kuepuka udanganyifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani