Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji haramu waliorejea waamriwa kuondoka haraka

Kanali mstaafu Fabiani MasaweSERIKALI mkoani Kagera imewataka wahamiaji haramu waliorudi tena nchini huku wakijiita M23 na kuteka kijiji cha Kibingo kilichoko wilayani Kyerwa huku wakiendelea kutoa vitisho kwa wananchi kuondoka mara moja kwani wakikamatwa watafikishwa mahakamani na kushitakiwa kwa kosa la ujambazi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Suluhu yatakiwa haraka kuhusu wahamiaji

Waziri mkuu wa Italia Matteo Renzi ametoa wito wa kufanyika kikao cha dharura cha Umoja wa Ulaya kujadili swala la wahamiaji

 

10 years ago

BBCSwahili

EU kupambana na wahamiaji haramu

EU imekubali kuunda kikosi cha wanamaji ili kupambana na wafanyabiashara wa binadamu kupitia bahari ya mediterania

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wahamiaji haramu 21 wakamatwa

IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...

 

11 years ago

Habarileo

JK aonya wahamiaji haramu

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Msihifadhi wahamiaji haramu’

KIONGOZI wa mbio za mwenge wa uhuru, Rachel Kassanda, amewataka Watanzania kuacha tabia ya kuwahifadhi wahamiaji haramu, kwani kwa kufanya hivyo ni kuhatarisha amani na usalama wa nchi. Akizungumza baada...

 

10 years ago

Habarileo

Wakala wa wahamiaji haramu anaswa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeMKAZI wa Mwanza aliyetambulika kwa jina la Sultan Said Ramadhani (31) maarufu kama Kusharunga, amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kusafirisha wahamiaji haramu kutoka Ethiopia.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni kuhifadhi wahamiaji haramu

 Idara ya uhamiaji mkoani Geita, inawashikilia wakazi wawili wa Nyamboge, wilayani Geita, kwa tuhuma za kuhifadhi wahamiaji haramu 18 kutoka nchini Burudi.

 

10 years ago

Habarileo

Watakiwa kuwafichua wahamiaji haramu

WANANCHI wa mkoa wa Kigoma wametakiwa kutimiza kwa vitendo mkakati wa ulinzi wa nchi kwa kuwafichua wahamiaji haramu wanaoingia na silaha mkoani humo kwa nia ya kutenda vitendo vya uhalifu.

 

10 years ago

Habarileo

Wahamiaji haramu 64 mbaroni Kilimanjaro

 Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Moita KokaPOLISI mkoani Kilimanjaro inashikilia wahamiaji haramu 64, raia wa Ethiopia, walioingia nchini na kujificha katika wilaya za Mwanga na Rombo mkoani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani