Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suluhu yatakiwa haraka kuhusu wahamiaji

Waziri mkuu wa Italia Matteo Renzi ametoa wito wa kufanyika kikao cha dharura cha Umoja wa Ulaya kujadili swala la wahamiaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Sheria ya wazee yatakiwa haraka

SERIKALI imeshauriwa kufanya haraka kutunga Sheria ya wazee ili kuwawezesha wazee kupata haki zao za msingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Suala la wamachinga lipatiwe suluhu haraka

MARA kadhaa tumepata kuandika tahariri kueleza kwamba tatizo la machinga na ukosefu wa ajira yasipopatiwa ufumbuzi ni bomu linalosubiri kulipuka na hakuna atakayepona. Hii ni kutokana na ukweli kwamba, serikali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgogoro huu wa ardhi utafutiwe suluhu haraka

KWA takriban mwezi mmoja sasa, baadhi ya vyombo vya habari likiwemo gazeti hili, yamekuwa yakiripoti kuwapo kwa mgogoro wa kiwanja katika eneo la Kokoto – Mbagala. Mgogoro huo unaihusisha Kampuni...

 

11 years ago

Habarileo

Wahamiaji haramu waliorejea waamriwa kuondoka haraka

Kanali mstaafu Fabiani MasaweSERIKALI mkoani Kagera imewataka wahamiaji haramu waliorudi tena nchini huku wakijiita M23 na kuteka kijiji cha Kibingo kilichoko wilayani Kyerwa huku wakiendelea kutoa vitisho kwa wananchi kuondoka mara moja kwani wakikamatwa watafikishwa mahakamani na kushitakiwa kwa kosa la ujambazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri EU waafikiana kuhusu wahamiaji

Mawaziri wa masuala ya ndani EU wamekubaliana kuhusu mpango wa kuwapokea wahamiaji 120,000 walioingia katika bara Ulaya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania motoni kuhusu wahamiaji

Tume ya bara ulaya yaitaka Uhispania kuelezea hatua yake ya kutumia risasi za mipira dhidi ya kundi la wahamiaji kutoka afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Mjadala mkali kuhusu wahamiaji EU

Tatizo la wahamiaji imekuwa agenda kuu na kuzusha mjadala mkali katika mkutano wa Mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa muungano wa ulaya mjini Luxermbourg.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhamiaji:Ripoti kuhusu wahamiaji 4

BBC imewafuata wahamiaji wanne na hii hapa mukhtasari wa safari yao ya kutafuta maisha mazuri nga'mbo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri wa EU wajadali kuhusu wahamiaji

Mkuu wa sera kwenye Muungano wa Ulaya anasema kuwa Ulaya ina wajibu wa kukabiliana na hali inayozidi kuwa mbaya kuhusu wahamiaji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani