Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suala la wamachinga lipatiwe suluhu haraka

MARA kadhaa tumepata kuandika tahariri kueleza kwamba tatizo la machinga na ukosefu wa ajira yasipopatiwa ufumbuzi ni bomu linalosubiri kulipuka na hakuna atakayepona. Hii ni kutokana na ukweli kwamba, serikali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Suluhu yatakiwa haraka kuhusu wahamiaji

Waziri mkuu wa Italia Matteo Renzi ametoa wito wa kufanyika kikao cha dharura cha Umoja wa Ulaya kujadili swala la wahamiaji

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgogoro huu wa ardhi utafutiwe suluhu haraka

KWA takriban mwezi mmoja sasa, baadhi ya vyombo vya habari likiwemo gazeti hili, yamekuwa yakiripoti kuwapo kwa mgogoro wa kiwanja katika eneo la Kokoto – Mbagala. Mgogoro huo unaihusisha Kampuni...

 

10 years ago

Michuzi

Tahariri ya Globu ya Jamii: Sakata la Miss Tanzania 2014 Sitti Abbasi Mtemvu lipatiwe muarobani

 Jumamosi   Oktoba 11, 2014 fainali za Miss Tanzania  zilifanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. Umati mkubwa wa wapenzi wa urembo waliokusanyika hapo ulishuhudia Bi. Sitti Abbas Mtemvu akinyakua taji hilo, akiwashinda warembo wengine 29 na kuwa malikia wa 20 wa urembo nchini.Sitti, aliyeanza mbio za kuwania taji hilo katika awamu ya vitongoji kwa kujisafishia njia kwa  kuibuka Miss Chang’ombe na baadaye Miss Temeke,  alifuatiwa na  Lillian Kamazima aliyekuwa mshindi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo ni wamachinga au wateja?

HIVI karibuni serikali kupitia Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) ilikihamisha kituo cha mabasi ya daladala kutoka eneo la Mwenge kwenda Makumbusho. Kitendo hiki kimeathiri makundi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo si wamachinga, ni serikali

HIVI karibuni Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitangaza kuanzisha Operesheni Safisha Jiji ya kuwaondoa wamachinga wote walio katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es...

 

11 years ago

GPL

WAMACHINGA WAMUUA ASKARI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida vijana wanaodaiwa ni Wamachinga wamemuua askari mmoja wa Jiji la Dar es Salaam kwa kumpiga na stuli kichwani wakati akitimiza majukumu yake. Marehemu Stephano Benjamin Komba (36) ambaye aliyekuwa na cheo cha sajenti. Akizungumza na waandishi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa kuuaga mwili huo, Mkuu wa...

 

10 years ago

Habarileo

NHIF kuhudumia wamachinga

MFUKO wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) umeanzisha mpango utakaowawezesha wamachinga na wajasiriamali walio katika vikundi, kupata huduma ya matibabu kwa njia ya bima.

 

11 years ago

Mwananchi

Wamachinga Igoma, Buhongwa kuondolewa

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameagiza viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana na Mkuu wa Kituo cha Polisi mkoani hapa, kuhakikisha wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga wanaondolewa haraka kupisha ukarabati wa barabara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani