Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RPC aagiza wauzaji wa tindikali kujisajili

POLISI mkoani Simiyu imewataka wauzaji wa tindikali, kujisajili kwa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, ili watambulike kisheria na kupewa utaratibu wa matumizi sahihi ya bidhaa hiyo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Charles Mkumbo, pia aliwatahadharisha wananchi wote kuwa atakayekutwa na tindikali mtaani, atakamatwa na kufikishwa mahakamani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wauzaji wa kemikali waamriwa kujisajili

OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

 

10 years ago

Habarileo

Waganga wote watakiwa kujisajili

MSAJILI wa Baraza la Tiba Asili Zanzibar, Haji Juma Kundi amewataka waganga wote wanaotoa tiba mbadala, kujisajili kwa ajili ya kutoa huduma za tiba ili kuepuka kuchukuliwa sheria za kinidhamu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MKURABITA yawataka wajasiriamali kujisajili

MPANGO wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara Tanzania (MKURABITA) umewataka wajasiriamali wadogo kusajili biashara zao na kupata mafunzo sahihi ili kufikia malengo yao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

10 years ago

Habarileo

Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili

Profesa Samwel ManyeleWAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

Waganga tiba asili waagizwa kujisajili

BARAZA la tiba asili na tiba mbadala limetakiwa kuhakikisha waganga wote wanaotoa huduma kwa wateja wanasajiliwa ili kuepuka udanganyifu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Manufaa ya wajasiriamali wa nyuki kujisajili TBS

LICHA ya Tanzania kuwa nchi ya pili  Afrika kwa uzalishaji wa asali na nta,  bado mazao ya nyuki  yanashindwa kupenya vizuri katika masoko ya kimataifa na soko la dunia kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wamiliki wa viwanda wahamizwa kujisajili Brela

WAJASIRIAMALI wenye viwanda vidogo, vya kati na vikubwa mjini Mbeya wametakiwa kuhakikisha viwanda vyao vimesajiliwa na kupata leseni za uendeshaji, kwani kwa kutofanya hivyo ni kinyume cha sheria za nchi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCRA yawataka mafundi simu kujisajili

MAFUNDI simu wameshauriwa kujisajili Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili waweze kufanya kazi zao kwa kufuata sheria na utaratibu uliopo. Wito huo ulitolewa jana na Naibu Mkurugenzi Masuala ya Watumiaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheikh amwagiwa tindikali

IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir (33) amejeruhiwa vibaya usoni na sehemu ya bega la kushoto baada ya kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani