RPC aagiza wauzaji wa tindikali kujisajili
POLISI mkoani Simiyu imewataka wauzaji wa tindikali, kujisajili kwa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, ili watambulike kisheria na kupewa utaratibu wa matumizi sahihi ya bidhaa hiyo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Charles Mkumbo, pia aliwatahadharisha wananchi wote kuwa atakayekutwa na tindikali mtaani, atakamatwa na kufikishwa mahakamani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Sep
Wauzaji wa kemikali waamriwa kujisajili
OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.
10 years ago
Habarileo23 Dec
Waganga wote watakiwa kujisajili
MSAJILI wa Baraza la Tiba Asili Zanzibar, Haji Juma Kundi amewataka waganga wote wanaotoa tiba mbadala, kujisajili kwa ajili ya kutoa huduma za tiba ili kuepuka kuchukuliwa sheria za kinidhamu.
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
MKURABITA yawataka wajasiriamali kujisajili
MPANGO wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara Tanzania (MKURABITA) umewataka wajasiriamali wadogo kusajili biashara zao na kupata mafunzo sahihi ili kufikia malengo yao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...
10 years ago
Habarileo09 Dec
Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili
WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.
9 years ago
Habarileo02 Sep
Waganga tiba asili waagizwa kujisajili
BARAZA la tiba asili na tiba mbadala limetakiwa kuhakikisha waganga wote wanaotoa huduma kwa wateja wanasajiliwa ili kuepuka udanganyifu.
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Manufaa ya wajasiriamali wa nyuki kujisajili TBS
LICHA ya Tanzania kuwa nchi ya pili Afrika kwa uzalishaji wa asali na nta, bado mazao ya nyuki yanashindwa kupenya vizuri katika masoko ya kimataifa na soko la dunia kwa...
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wamiliki wa viwanda wahamizwa kujisajili Brela
WAJASIRIAMALI wenye viwanda vidogo, vya kati na vikubwa mjini Mbeya wametakiwa kuhakikisha viwanda vyao vimesajiliwa na kupata leseni za uendeshaji, kwani kwa kutofanya hivyo ni kinyume cha sheria za nchi....
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
TCRA yawataka mafundi simu kujisajili
MAFUNDI simu wameshauriwa kujisajili Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili waweze kufanya kazi zao kwa kufuata sheria na utaratibu uliopo. Wito huo ulitolewa jana na Naibu Mkurugenzi Masuala ya Watumiaji...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Sheikh amwagiwa tindikali
IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir (33) amejeruhiwa vibaya usoni na sehemu ya bega la kushoto baada ya kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali. Akizungumza na Tanzania Daima...