Wamiliki wa viwanda wahamizwa kujisajili Brela
WAJASIRIAMALI wenye viwanda vidogo, vya kati na vikubwa mjini Mbeya wametakiwa kuhakikisha viwanda vyao vimesajiliwa na kupata leseni za uendeshaji, kwani kwa kutofanya hivyo ni kinyume cha sheria za nchi....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sEttOvZ7IJk/VNDT1liTN0I/AAAAAAAHBS8/i2HPqANRUwA/s72-c/NBS%2B-%2B1.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WA SENSA YA VIWANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sEttOvZ7IJk/VNDT1liTN0I/AAAAAAAHBS8/i2HPqANRUwA/s1600/NBS%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EYaT0z67fvY/VNDT1g4zWxI/AAAAAAAHBTA/nhgmiW-e7JA/s1600/NBS%2B-%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Wamiliki wa viwanda watakiwa kutoa ushirikiano kwa wadadisi wanaokusanya taarifa za sensa ya viwanda nchini
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo mkoani Dodoma kuhusu maendeleo ya zoezi la Sensa ya Viwanda linalofanyika nchini. Kushoto kwake ni Idd Mruke, Meneja Takwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, mkoa wa Dodoma.
Meneja wa Takwimu za Biashara na Utalii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, ambaye ni Msimamizi wa Sensa ya Viwanda nchini akiwaelezea waandishi wa habari leo mkoani Dodoma kuhusu vigezo vilivyotumika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNM15t5Wr3111cgrGpelbNZ6I3bpYvYueE2EWA4*UorFETQrDezFgDuMvyKB8himehjSt-sUF-tbw2x3G10tTcOY/PICHANAMBA1.jpg)
WITO UMETOLEWA KWA WAMILIKI WA VIWANDA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WANAOKUSANYA TAARIFA ZA SENSA YA VIWANDA NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jMWADKh3weo/XsJs4_xwtUI/AAAAAAALqoQ/_KIe-XJz4SY3nAdx6Ng9EgrfmopGdZUrQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA NCHINI WAELEKEZWA KUKATA BIMA ZA MOTO.
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wamiliki wa viwanda nchini kuhakikisha wanakata bima za moto ili pale wanapokumbwa na ajali za moto wapate wepesi wa kulipwa fidia za mali zao.
Bashungwa alitoa wito huo akiwa ziarani Karagwe mkoani Kagera 17 mei 2020, baada ya kutembelea na kukagua kiwanda cha kukoboa kahawa cha Amri Amir AL-HABSSY kilichoungua kwa moto Mei 07, 2020 nakuona mashine zilivyoharibika baada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cf7uWKrJw/Xrwc1JJxUqI/AAAAAAALqHs/IKB7_jZ5xt8mghTG6FUvitS7RAcy-Yh-ACLcBGAsYHQ/s72-c/e3d90c34-c4f9-49f2-9c8a-81296ceb6de4.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUZALISHA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cf7uWKrJw/Xrwc1JJxUqI/AAAAAAALqHs/IKB7_jZ5xt8mghTG6FUvitS7RAcy-Yh-ACLcBGAsYHQ/s640/e3d90c34-c4f9-49f2-9c8a-81296ceb6de4.jpg)
Wazalishaji wa dawa,vifaa na vifaa tiba wakionesha nguo ya kujikinga ambayo itaanza kutengeneza na baadhi ya viwanda nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2274dd97-37b1-4b32-afdd-4bfc21fef3f5.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu na Waziri Innocent Bashungwa wakiwa kwenye kikao na Umoja wa wazalishaji wa Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba wakati wa mkutano huo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5431ae9f-4e6c-404b-99fb-cc59a3b409a5.jpg)
Waziri wa afya, maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiongea na Umoja wa Wazalishaji Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba (TPMA) nchini wakati wa kikao cha kujadili namna ya uzalishaji wa vifaa kinga vya kukabiliana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YogDGkXxoPw/XrPsY-AlSnI/AAAAAAALpW0/8rYB8ilWbLQmw58Q6VyIAmILXAEklvxsQCLcBGAsYHQ/s72-c/COPY-1.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA KUZALISHA UNGA WALALAMIKIA KUSHUKA KWA UZALISHAJI
NA DENIS MLOWE, IRINGA
WAMILIKI wa viwanda vya kuzalisha unga wa sembena wafanyabiashara wa chakula ‘mama lishe’ mkoani Iringa wamelalamika kuporomoka kwa uzalishaji na wateja kutokana na janga la Corona linaloendelea duniani kote.
Wakizungumza na mwanahabari wamiliki hao wamesema kwamba hali ya sasa ya uzalishaji imepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na biashara hiyo kuathiriwa na kuenea kwa virus vya corona nchini.
Mmoja wa wa wamiliki hao, Alfred Mpanga mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y7DbMS9m-ZM/XrwoXc8Q11I/AAAAAAALqIg/_lYHXl6g0ooaV95UWpTney2gGIn3-ZKGgCLcBGAsYHQ/s72-c/1...jpg)
BASHUNGWA AWAELEKEZA WAMILIKI WA VIWANDA KUZALISHA VIFAA KINGA VYA KUTOSHA KUKABILIANA NA CORONA.
Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa amewapongeza wamiliki wa viwanda hivyo kwa kubuni na kugundua teknolojia na uzalishaji wa vifaa kinga kwa ajili ya kupambana na ugonjwa huo....
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BOYKWuzWk_o/VhuLmZddeBI/AAAAAAAH_WY/YX0miN43K1s/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO ZA MUUNGANO WA WAFANYABIASHARA NA WAMILIKI WA VIWANDA KUTOKA TANZANIA NA UTURUKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BOYKWuzWk_o/VhuLmZddeBI/AAAAAAAH_WY/YX0miN43K1s/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AmZ6NxOee04/VhuLnXwsiaI/AAAAAAAH_Wo/PASQF2l-E8g/s640/2.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-F41trWvor6g/VhuTGsWi7NI/AAAAAAAEAqI/Bv3i4B-CrKA/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO ZA MUUNGANO WA WAFANYABIASHARA NA WAMILIKI WA VIWANDA KUTOKA TANZANIA NA UTURUKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-F41trWvor6g/VhuTGsWi7NI/AAAAAAAEAqI/Bv3i4B-CrKA/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RA4oAT0J5ts/VhuTHeA1xNI/AAAAAAAEAqY/FhQNGFMVDek/s640/2.jpg)