WAMILIKI WA VIWANDA KUZALISHA UNGA WALALAMIKIA KUSHUKA KWA UZALISHAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-YogDGkXxoPw/XrPsY-AlSnI/AAAAAAALpW0/8rYB8ilWbLQmw58Q6VyIAmILXAEklvxsQCLcBGAsYHQ/s72-c/COPY-1.jpg)
NA DENIS MLOWE, IRINGA
WAMILIKI wa viwanda vya kuzalisha unga wa sembena wafanyabiashara wa chakula ‘mama lishe’ mkoani Iringa wamelalamika kuporomoka kwa uzalishaji na wateja kutokana na janga la Corona linaloendelea duniani kote.
Wakizungumza na mwanahabari wamiliki hao wamesema kwamba hali ya sasa ya uzalishaji imepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na biashara hiyo kuathiriwa na kuenea kwa virus vya corona nchini.
Mmoja wa wa wamiliki hao, Alfred Mpanga mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cf7uWKrJw/Xrwc1JJxUqI/AAAAAAALqHs/IKB7_jZ5xt8mghTG6FUvitS7RAcy-Yh-ACLcBGAsYHQ/s72-c/e3d90c34-c4f9-49f2-9c8a-81296ceb6de4.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUZALISHA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cf7uWKrJw/Xrwc1JJxUqI/AAAAAAALqHs/IKB7_jZ5xt8mghTG6FUvitS7RAcy-Yh-ACLcBGAsYHQ/s640/e3d90c34-c4f9-49f2-9c8a-81296ceb6de4.jpg)
Wazalishaji wa dawa,vifaa na vifaa tiba wakionesha nguo ya kujikinga ambayo itaanza kutengeneza na baadhi ya viwanda nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2274dd97-37b1-4b32-afdd-4bfc21fef3f5.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu na Waziri Innocent Bashungwa wakiwa kwenye kikao na Umoja wa wazalishaji wa Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba wakati wa mkutano huo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5431ae9f-4e6c-404b-99fb-cc59a3b409a5.jpg)
Waziri wa afya, maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiongea na Umoja wa Wazalishaji Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba (TPMA) nchini wakati wa kikao cha kujadili namna ya uzalishaji wa vifaa kinga vya kukabiliana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y7DbMS9m-ZM/XrwoXc8Q11I/AAAAAAALqIg/_lYHXl6g0ooaV95UWpTney2gGIn3-ZKGgCLcBGAsYHQ/s72-c/1...jpg)
BASHUNGWA AWAELEKEZA WAMILIKI WA VIWANDA KUZALISHA VIFAA KINGA VYA KUTOSHA KUKABILIANA NA CORONA.
Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa amewapongeza wamiliki wa viwanda hivyo kwa kubuni na kugundua teknolojia na uzalishaji wa vifaa kinga kwa ajili ya kupambana na ugonjwa huo....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNM15t5Wr3111cgrGpelbNZ6I3bpYvYueE2EWA4*UorFETQrDezFgDuMvyKB8himehjSt-sUF-tbw2x3G10tTcOY/PICHANAMBA1.jpg)
WITO UMETOLEWA KWA WAMILIKI WA VIWANDA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WANAOKUSANYA TAARIFA ZA SENSA YA VIWANDA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sEttOvZ7IJk/VNDT1liTN0I/AAAAAAAHBS8/i2HPqANRUwA/s72-c/NBS%2B-%2B1.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WA SENSA YA VIWANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sEttOvZ7IJk/VNDT1liTN0I/AAAAAAAHBS8/i2HPqANRUwA/s1600/NBS%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EYaT0z67fvY/VNDT1g4zWxI/AAAAAAAHBTA/nhgmiW-e7JA/s1600/NBS%2B-%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Wamiliki wa viwanda watakiwa kutoa ushirikiano kwa wadadisi wanaokusanya taarifa za sensa ya viwanda nchini
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo mkoani Dodoma kuhusu maendeleo ya zoezi la Sensa ya Viwanda linalofanyika nchini. Kushoto kwake ni Idd Mruke, Meneja Takwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, mkoa wa Dodoma.
Meneja wa Takwimu za Biashara na Utalii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, ambaye ni Msimamizi wa Sensa ya Viwanda nchini akiwaelezea waandishi wa habari leo mkoani Dodoma kuhusu vigezo vilivyotumika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-spoir8wLfTU/Xrjgb1ac2zI/AAAAAAALptg/xdq7uXIcM880Ed8fm8KH5-252FaD_V0XwCLcBGAsYHQ/s72-c/timbaku%252Bpic.jpg)
RAS TABORA ANZENI KULIMA MAZAO MENGINE KUKABILIANA NA MATATIZO YA KUSHUKA KWA UZALISHAJI WA ZAO LA TUMBAKU
NA TIGANYA VINCENT
HALMASHAURI ambazo zinazotegemea sehemu ya mapato kutoka kwenye zao la tumbaku zimetakiwa kuandaa mkakati mpya ambao utawawezesha kulima mazao mengine ili kuwa na msingi wa vyanzo vipya vya mapato ya ndani.
Hatua hiyo inafuatia Kampuni zinazonunua tumbaku Mkoani Tabora kuendelea kushusha makisio ya uzalishaji kwa wakulima wa tumbaku.
Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu Mkoa wa Tabora Msalika Makungu wakati wa kikao cha robo ya tatu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya...
9 years ago
MichuziTANESCO KUONDOLEWA KATIKA UZALISHAJI UMEME, WIND EA KUANZA KUZALISHA MWISHONI 2017.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wamiliki wa viwanda wahamizwa kujisajili Brela
WAJASIRIAMALI wenye viwanda vidogo, vya kati na vikubwa mjini Mbeya wametakiwa kuhakikisha viwanda vyao vimesajiliwa na kupata leseni za uendeshaji, kwani kwa kutofanya hivyo ni kinyume cha sheria za nchi....