RAS TABORA ANZENI KULIMA MAZAO MENGINE KUKABILIANA NA MATATIZO YA KUSHUKA KWA UZALISHAJI WA ZAO LA TUMBAKU
![](https://1.bp.blogspot.com/-spoir8wLfTU/Xrjgb1ac2zI/AAAAAAALptg/xdq7uXIcM880Ed8fm8KH5-252FaD_V0XwCLcBGAsYHQ/s72-c/timbaku%252Bpic.jpg)
NA TIGANYA VINCENT
HALMASHAURI ambazo zinazotegemea sehemu ya mapato kutoka kwenye zao la tumbaku zimetakiwa kuandaa mkakati mpya ambao utawawezesha kulima mazao mengine ili kuwa na msingi wa vyanzo vipya vya mapato ya ndani.
Hatua hiyo inafuatia Kampuni zinazonunua tumbaku Mkoani Tabora kuendelea kushusha makisio ya uzalishaji kwa wakulima wa tumbaku.
Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu Mkoa wa Tabora Msalika Makungu wakati wa kikao cha robo ya tatu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PDhirsT64-g/XvRndJfCReI/AAAAAAALvWE/YzrzU4pk7K0QcQMJlRcQQL1p3xcYMl3SQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KUSHUKA KWA BEI YA MAZAO KUSIWAKATISHE TAMAA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PDhirsT64-g/XvRndJfCReI/AAAAAAALvWE/YzrzU4pk7K0QcQMJlRcQQL1p3xcYMl3SQCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Amesema Serikali inaendelea kulifanyia kazi hilo na kwamba bei ya mazao nchini itaimarika baada ya kuongezeka kwa ujenzi wa viwanda vya kuchakata mazao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aBi951nol0k/Xm4RlPj-jHI/AAAAAAALjuo/kG-4wDbQq4kE2guLZVJtuYCC-S8DLLcYQCLcBGAsYHQ/s72-c/ddee7d2b-2b1e-4aa9-a252-3c78338b74b7.jpg)
WAZIRI BITEKO AWARUHUSU WAKAZI KIJIJI CHA MUNDINDI,LUDEWA KUENDELEZA MASHAMBA YAO KWA KULIMA MAZAO YA MUDA MFUPI
Hayo ameyasema alipotembelea mradi wa liganga uliopo mkoani humo baada ya wakazi wa kijiji hicho kulalamika kuwa wanazuiliwa kulima mashamba yao pasipo kulipwa fidia yoyote kitu ambacho kinawarudisha nyuma kimaendeleo.
Wananchi hao wandai kuwa walikubali kupisha mradi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YogDGkXxoPw/XrPsY-AlSnI/AAAAAAALpW0/8rYB8ilWbLQmw58Q6VyIAmILXAEklvxsQCLcBGAsYHQ/s72-c/COPY-1.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA KUZALISHA UNGA WALALAMIKIA KUSHUKA KWA UZALISHAJI
NA DENIS MLOWE, IRINGA
WAMILIKI wa viwanda vya kuzalisha unga wa sembena wafanyabiashara wa chakula ‘mama lishe’ mkoani Iringa wamelalamika kuporomoka kwa uzalishaji na wateja kutokana na janga la Corona linaloendelea duniani kote.
Wakizungumza na mwanahabari wamiliki hao wamesema kwamba hali ya sasa ya uzalishaji imepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na biashara hiyo kuathiriwa na kuenea kwa virus vya corona nchini.
Mmoja wa wa wamiliki hao, Alfred Mpanga mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mtwara watakiwa kulima mazao mbadala
WANANCHI mkoani Mtwara wamehimizwa kulima mazao mbadala ya biashara na sio kutegemea kilimo cha korosho pekee. Wito huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile,...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Lindi, Mtwara watakiwa kulima mazao mbadala
MADIWANI wametakiwa kuwahimiza wananchi katika maeneo yao kuona umuhimu wa kulima mazao ya mbegu za mafuta kama vile alizeti, ufuta na karanga kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na si...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
TBL yatoa elimu kwa wakulima juu ya uzalishaji bora wa zao la Shayiri
Joel Msechu mtaalamu wa zao la shayiri kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akiwaonesha wakulima magonjwa wa shayiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo katika katika mashamba yaliyopo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.
Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson akiwaonesha wakulima kijitabu cha muongozo wa kilimo cha...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J6LtlqHQsro/VkzUoFsO80I/AAAAAAAIGng/oIK2WtZC1bw/s72-c/20151117_164358.jpg)
UHIFADHI WA MISITU NA UZALISHAJI WA MAZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-J6LtlqHQsro/VkzUoFsO80I/AAAAAAAIGng/oIK2WtZC1bw/s640/20151117_164358.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N1aDXy-T39U/VkzUobist-I/AAAAAAAIGnk/cXs2da-ebS0/s640/20151118_113644.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Jan
‘Epukeni uzalishaji wa mazao sumu’