Wamiliki wa viwanda watakiwa kutoa ushirikiano kwa wadadisi wanaokusanya taarifa za sensa ya viwanda nchini
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo mkoani Dodoma kuhusu maendeleo ya zoezi la Sensa ya Viwanda linalofanyika nchini. Kushoto kwake ni Idd Mruke, Meneja Takwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, mkoa wa Dodoma.
Meneja wa Takwimu za Biashara na Utalii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, ambaye ni Msimamizi wa Sensa ya Viwanda nchini akiwaelezea waandishi wa habari leo mkoani Dodoma kuhusu vigezo vilivyotumika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNM15t5Wr3111cgrGpelbNZ6I3bpYvYueE2EWA4*UorFETQrDezFgDuMvyKB8himehjSt-sUF-tbw2x3G10tTcOY/PICHANAMBA1.jpg)
WITO UMETOLEWA KWA WAMILIKI WA VIWANDA KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WANAOKUSANYA TAARIFA ZA SENSA YA VIWANDA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sEttOvZ7IJk/VNDT1liTN0I/AAAAAAAHBS8/i2HPqANRUwA/s72-c/NBS%2B-%2B1.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADADISI WA SENSA YA VIWANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sEttOvZ7IJk/VNDT1liTN0I/AAAAAAAHBS8/i2HPqANRUwA/s1600/NBS%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EYaT0z67fvY/VNDT1g4zWxI/AAAAAAAHBTA/nhgmiW-e7JA/s1600/NBS%2B-%2B2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68xhRnUtWB8jWbofS4vWb3r7zEg2TmbSQYM5*ABnHakHJBpMNoGcqswUNsc9QICes5gMoLciqtqHMAEf3VoV9jru/NBS1.jpg?width=650)
MAANDALIZI SENSA YA VIWANDA YAKAMILIKA, SERIKALI YAWATAKA WADAU KUTOA USHIRIKIANO
10 years ago
Dewji Blog15 Feb
Maandalizi sensa ya viwanda yakamilika, Serikali yawataka wadau kutoa ushirikiano
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akifunga rasmi mafunzo ya siku 14 ya wasimamizi na wadadisi wa Sensa ya viwanda 2013 itakayofanyika nchini nzima kuanzia Februari 23, 2015. Hafla ya kufunga mafunzo hayo ilifanyika jana eneo la Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika jijini Dar es salaam.
Na Aron Sigma – MAELEZO
SERIKALI imesema kuwa maandalizi ya Sensa ya Viwanda ya mwaka 2013 itakayofanyika nchi nzima kuanzia Februari 23 mwaka huu yamekamilika na kuwataka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sAvEIMNAPqE/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cf7uWKrJw/Xrwc1JJxUqI/AAAAAAALqHs/IKB7_jZ5xt8mghTG6FUvitS7RAcy-Yh-ACLcBGAsYHQ/s72-c/e3d90c34-c4f9-49f2-9c8a-81296ceb6de4.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUZALISHA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cf7uWKrJw/Xrwc1JJxUqI/AAAAAAALqHs/IKB7_jZ5xt8mghTG6FUvitS7RAcy-Yh-ACLcBGAsYHQ/s640/e3d90c34-c4f9-49f2-9c8a-81296ceb6de4.jpg)
Wazalishaji wa dawa,vifaa na vifaa tiba wakionesha nguo ya kujikinga ambayo itaanza kutengeneza na baadhi ya viwanda nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2274dd97-37b1-4b32-afdd-4bfc21fef3f5.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu na Waziri Innocent Bashungwa wakiwa kwenye kikao na Umoja wa wazalishaji wa Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba wakati wa mkutano huo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5431ae9f-4e6c-404b-99fb-cc59a3b409a5.jpg)
Waziri wa afya, maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiongea na Umoja wa Wazalishaji Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba (TPMA) nchini wakati wa kikao cha kujadili namna ya uzalishaji wa vifaa kinga vya kukabiliana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jMWADKh3weo/XsJs4_xwtUI/AAAAAAALqoQ/_KIe-XJz4SY3nAdx6Ng9EgrfmopGdZUrQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA NCHINI WAELEKEZWA KUKATA BIMA ZA MOTO.
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wamiliki wa viwanda nchini kuhakikisha wanakata bima za moto ili pale wanapokumbwa na ajali za moto wapate wepesi wa kulipwa fidia za mali zao.
Bashungwa alitoa wito huo akiwa ziarani Karagwe mkoani Kagera 17 mei 2020, baada ya kutembelea na kukagua kiwanda cha kukoboa kahawa cha Amri Amir AL-HABSSY kilichoungua kwa moto Mei 07, 2020 nakuona mashine zilivyoharibika baada ya...