Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wanne Sekondari waamriwa kuhama

WALIMU wanne wa shule ya Sekondari Kindai, Manispaa ya Singida wametakiwa kuhama mara moja. Wamepewa agizo hilo baada ya kukiri kuwa walitoa adhabu ya udhalilishaji kwa wasichana wote wa shule hiyo, kwa madai kuwa mmoja wao alitupa chooni taulo ya kike iliyotumika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Zawadi Sekondari yapungukiwa walimu, vifaa

WAKATI tukitegemea mafanikio yetu katika swala la elimu, shule za kata zimezidi kuwa na hali mbaya na upungufu mkubwa wa vifaa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili juzi, Kaimu Mkuu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sekondari ya Nainokanoka yalia uhaba walimu wa sayansi

SHULE ya Sekondari ya Nainokanoka wilayani hapa Mkoa wa Arusha inakabiliwa na ukosefu wa walimu wa masomo ya sayansi licha ya kuwa na mchepuo huo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkuu...

 

11 years ago

Michuzi

SHULE YA SEKONDARI MWEMBETOGWA YA IRINGA YATIMUA WALIMU 'MAFATAKI'

Mkuu wa Shule ya Sekondari
Mwembetogwa, Kevin Mlengule
SHULE ya Sekondari ya Mwembetogwa ya Mjini Iringa imepongezwa na wadau wake baada ya hivikaribuni kuwafukuza kazi walimu wanne wa kiume waliobainika kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao wa kike maarufu  kama mafataki
“Tunataka shule nyingine ziige mfano wa shule hii, tumefarijika kusikia imechukua uamuzi huo na kwa kufanya hivyo tunaamini shule hiyo itakuwa salama kwa watoto wetu wa kike,” alisema mmoja wa wazazi wenye watoto...

 

11 years ago

Mwananchi

Matokeo yawachanganya walimu wakuu Sekondari ya Ufundi Iyunga, Tambaza

Matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa juzi na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), yamewashtua walimu wakuu wa shule za sekondari za Iyunga mkoani Mbeya na Tambaza jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

WAZAZI, WALIMU, UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI YA KISUKURU REGENT WAKUTANA

Naibu Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Kisukuru Regent, Dorisia Mulashani (kushoto) akiongea na wazazi katika mkutano huo. Katikati ni mwenyekiti wa bodi ya shule, Suzana Kalele na kulia ni Mkuu wa  shule, Sabastian Mbao. Baadhi ya wazazi wa wanafunzi wakimsikiliza Naibu Mkurugenzi.…

 

11 years ago

Michuzi

WALIMU WA SEKONDARI WAKIANGALIA KWENYE MTANDAO VITUO VYAO VYA KAZI WALIVYOPANGIWA

Walimu wa sekondari wakiwa duka la Kwetu Net (Internet Cafe) mjini Iringa leo wakiangalia kwenye mtandao halmashauri walizopangiwa  kwenda ambako watapangiwa shule za kufanyia kazi leo.

 

11 years ago

Michuzi

AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14


 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA- TAMISEMI
  A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:-


i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677

Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za vyuo vya ualimu Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi

Na Abdulaziz Lindi,Globu ya Jamii - Lindi
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani