Walimu wanne Sekondari waamriwa kuhama
WALIMU wanne wa shule ya Sekondari Kindai, Manispaa ya Singida wametakiwa kuhama mara moja. Wamepewa agizo hilo baada ya kukiri kuwa walitoa adhabu ya udhalilishaji kwa wasichana wote wa shule hiyo, kwa madai kuwa mmoja wao alitupa chooni taulo ya kike iliyotumika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Zawadi Sekondari yapungukiwa walimu, vifaa
WAKATI tukitegemea mafanikio yetu katika swala la elimu, shule za kata zimezidi kuwa na hali mbaya na upungufu mkubwa wa vifaa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili juzi, Kaimu Mkuu wa...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Sekondari ya Nainokanoka yalia uhaba walimu wa sayansi
SHULE ya Sekondari ya Nainokanoka wilayani hapa Mkoa wa Arusha inakabiliwa na ukosefu wa walimu wa masomo ya sayansi licha ya kuwa na mchepuo huo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkuu...
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHULE YA SEKONDARI MWEMBETOGWA YA IRINGA YATIMUA WALIMU 'MAFATAKI'
Mwembetogwa, Kevin Mlengule
SHULE ya Sekondari ya Mwembetogwa ya Mjini Iringa imepongezwa na wadau wake baada ya hivikaribuni kuwafukuza kazi walimu wanne wa kiume waliobainika kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao wa kike maarufu kama mafataki
“Tunataka shule nyingine ziige mfano wa shule hii, tumefarijika kusikia imechukua uamuzi huo na kwa kufanya hivyo tunaamini shule hiyo itakuwa salama kwa watoto wetu wa kike,” alisema mmoja wa wazazi wenye watoto...
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Matokeo yawachanganya walimu wakuu Sekondari ya Ufundi Iyunga, Tambaza
11 years ago
GPLWAZAZI, WALIMU, UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI YA KISUKURU REGENT WAKUTANA
11 years ago
Michuzi16 Mar
WALIMU WA SEKONDARI WAKIANGALIA KWENYE MTANDAO VITUO VYAO VYA KAZI WALIVYOPANGIWA
11 years ago
Michuzi17 Mar
AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA- TAMISEMI
![](https://3.bp.blogspot.com/-WCb8axvmjEU/UyXRn4sRKuI/AAAAAAACrv0/o6DU52j0s1o/s1600/200px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:-
i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677
Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za vyuo vya ualimu Tanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KEFamnTjIgs/VKvL1N2AOII/AAAAAAAG7sQ/lRFFj2RfHjI/s72-c/mfuko4.jpg)
Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi
![](http://3.bp.blogspot.com/-KEFamnTjIgs/VKvL1N2AOII/AAAAAAAG7sQ/lRFFj2RfHjI/s1600/mfuko4.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...