Zawadi Sekondari yapungukiwa walimu, vifaa
WAKATI tukitegemea mafanikio yetu katika swala la elimu, shule za kata zimezidi kuwa na hali mbaya na upungufu mkubwa wa vifaa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili juzi, Kaimu Mkuu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari
11 years ago
Habarileo31 May
Walimu wanne Sekondari waamriwa kuhama
WALIMU wanne wa shule ya Sekondari Kindai, Manispaa ya Singida wametakiwa kuhama mara moja. Wamepewa agizo hilo baada ya kukiri kuwa walitoa adhabu ya udhalilishaji kwa wasichana wote wa shule hiyo, kwa madai kuwa mmoja wao alitupa chooni taulo ya kike iliyotumika.
10 years ago
GPLTSJ WAPEWA ZAWADI ZA VIFAA VYA HABARI
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Sekondari ya Nainokanoka yalia uhaba walimu wa sayansi
SHULE ya Sekondari ya Nainokanoka wilayani hapa Mkoa wa Arusha inakabiliwa na ukosefu wa walimu wa masomo ya sayansi licha ya kuwa na mchepuo huo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkuu...
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHULE YA SEKONDARI MWEMBETOGWA YA IRINGA YATIMUA WALIMU 'MAFATAKI'
Mwembetogwa, Kevin Mlengule
SHULE ya Sekondari ya Mwembetogwa ya Mjini Iringa imepongezwa na wadau wake baada ya hivikaribuni kuwafukuza kazi walimu wanne wa kiume waliobainika kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao wa kike maarufu kama mafataki
“Tunataka shule nyingine ziige mfano wa shule hii, tumefarijika kusikia imechukua uamuzi huo na kwa kufanya hivyo tunaamini shule hiyo itakuwa salama kwa watoto wetu wa kike,” alisema mmoja wa wazazi wenye watoto...
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Matokeo yawachanganya walimu wakuu Sekondari ya Ufundi Iyunga, Tambaza
11 years ago
GPLWAZAZI, WALIMU, UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI YA KISUKURU REGENT WAKUTANA
11 years ago
Michuzi16 Mar
WALIMU WA SEKONDARI WAKIANGALIA KWENYE MTANDAO VITUO VYAO VYA KAZI WALIVYOPANGIWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjO4V1Lw8eS3YYTgJc-Q2Rg8ViqHaLa8DCLiTf6K9wzI7JuSY2xwqIjXPO8egMVp*jlkv1dT8O9x8*XuO5RIVgm5/001.MAKUMBUSHO.jpg)
SEKONDARI YA MAKUMBUSHO YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA YA KISASA YA KOMPYUTA