Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakumbushwa sheria za uchaguzi

WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi zao na kuzijua Sheria za Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikiwemo kufahamu kwamba chombo chenye uwezo wa kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar ni Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

SHERIA: Sheria gharama za uchaguzi kung’ata zaidi

>Serikali inakusanya nguvu kuhakikisha Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya mwaka 2010, inang’ata wagombea wote watakaojihusisha na rushwa katika harakati zao za kusaka uongozi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Ushirika Muleba wapindisha sheria ya uchaguzi’

BAADHI ya wakulima wa chama cha ushirika cha Kamachumu kilichopo Wilayani Muleba Mkoani Kagera wamedai kuwa uchaguzi wa kuwachagua wajumbe wa bodi na mwenyekiti wa chama hicho uliofanyika wiki iliyopita...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria tete ya uchaguzi DRC kutupwa

Spika wa bunge nchini DRC amesema kuwa mabadiliko yaliozua utata katika sheria ya uchaguzi nchini humo yatatupiliwa mbali.

 

9 years ago

Habarileo

Lubuva: Wasimamizi wa uchaguzi fuateni sheria

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewataka wa wasimamizi wa uchaguzi na makamanda wa Polisi wa mikoa nchini, kufuata sheria ya uchaguzi na kutenda haki na haki hiyo ionekane ikitendeka siku ya uchaguzi mkuu.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria gharama za uchaguzi kung’ata

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis MutungiMSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vya siasa na wagombea nchini kuzingatia Sheria ya Gharama ya Uchaguzi, kwani isipozingatiwa itawaathiri wengi watakaokiuka.

 

9 years ago

Mwananchi

Sheria ya uchaguzi, haki ya mpigakura hadi Oktoba 25

Zimebaki  siku 24 kabla ya Mtanzania mwenye vigezo kutumia haki yake kumchagua viongozi anaowataka kumuongoza na kusimamia  rasilimali za Taifa kwa wa miaka mitano ijayo.

 

9 years ago

Habarileo

‘Simamieni uchaguzi mkiwa mnazielewa sheria, kanuni’

KAMANDA wa Polisi mkoani hapa, Leonard Paulo (pichani) ametoa mwito kwa vyombo vya ulinzi na usalama vitakavyohusika kusimamia vituo vya uchaguzi Oktoba 25, kuhakikisha vinatekeleza wajibu huo vikiwa na uelewa wa sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi.

 

11 years ago

Habarileo

Jaji Mutungi ataka sheria za uchaguzi kuzingatiwa

MSAJILI wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vinavyoshiriki katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika katika majimbo ya Kalenga, mkoani Iringa na Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani kuzingatia kanuni na sheria zote za uchaguzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani