Wakumbushwa sheria za uchaguzi
WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi zao na kuzijua Sheria za Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikiwemo kufahamu kwamba chombo chenye uwezo wa kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar ni Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Mar
SHERIA: Sheria gharama za uchaguzi kung’ata zaidi
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
‘Ushirika Muleba wapindisha sheria ya uchaguzi’
BAADHI ya wakulima wa chama cha ushirika cha Kamachumu kilichopo Wilayani Muleba Mkoani Kagera wamedai kuwa uchaguzi wa kuwachagua wajumbe wa bodi na mwenyekiti wa chama hicho uliofanyika wiki iliyopita...
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Sheria tete ya uchaguzi DRC kutupwa
9 years ago
Habarileo08 Oct
Lubuva: Wasimamizi wa uchaguzi fuateni sheria
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewataka wa wasimamizi wa uchaguzi na makamanda wa Polisi wa mikoa nchini, kufuata sheria ya uchaguzi na kutenda haki na haki hiyo ionekane ikitendeka siku ya uchaguzi mkuu.
10 years ago
Habarileo17 Jun
Sheria gharama za uchaguzi kung’ata
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vya siasa na wagombea nchini kuzingatia Sheria ya Gharama ya Uchaguzi, kwani isipozingatiwa itawaathiri wengi watakaokiuka.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Sheria ya uchaguzi, haki ya mpigakura hadi Oktoba 25
9 years ago
Habarileo08 Oct
‘Simamieni uchaguzi mkiwa mnazielewa sheria, kanuni’
KAMANDA wa Polisi mkoani hapa, Leonard Paulo (pichani) ametoa mwito kwa vyombo vya ulinzi na usalama vitakavyohusika kusimamia vituo vya uchaguzi Oktoba 25, kuhakikisha vinatekeleza wajibu huo vikiwa na uelewa wa sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi.
11 years ago
Habarileo15 Mar
Jaji Mutungi ataka sheria za uchaguzi kuzingatiwa
MSAJILI wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vinavyoshiriki katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika katika majimbo ya Kalenga, mkoani Iringa na Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani kuzingatia kanuni na sheria zote za uchaguzi.
9 years ago
Michuzi03 Sep