OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GNkU7fqbSTk/Vl62Iyzx4yI/AAAAAAAIJtI/yVQBooPBuVc/s72-c/New%2BPicture.png)
TPDC YATEKELEZA DHANA YA UWAJIBIKAJI KWA JAMII MKOANI MTWATRA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GNkU7fqbSTk/Vl62Iyzx4yI/AAAAAAAIJtI/yVQBooPBuVc/s640/New%2BPicture.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKDk_Uy_DE8/Vl62I2Vj3OI/AAAAAAAIJtE/xD9FFdlVXvc/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s72-c/IMG_6395.jpg)
TANZANIA YATAKA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA KUTEKELEZA KWA VITENDO DHANA YA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s640/IMG_6395.jpg)
9 years ago
MichuziUWAJIBIKAJI WA VIONGOZI WA VIJIJI NI DHANA KUU YA KUTATUA KERO ZINAZOWAKABILI WANANCHI WANAO WAONGOZA
“Unakuja kwenye ofisi yangu na kutoa taarifa za ubadhirifu wa mtendaji wa kijiji. Nakuuliza, je umechukua hatua zipi kama kiongozi wa kijiji kabla kuja kwenye ofisi yangu? Unanijibu hapana, hii si sahihi,” Hayo ni maneno ya mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Hashim Mgandilwa, aliyoyatoa wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya wenyeviti wa vijiji, watendaji...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Wakumbushwa sheria za uchaguzi
WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi zao na kuzijua Sheria za Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikiwemo kufahamu kwamba chombo chenye uwezo wa kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar ni Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Wazazi wakumbushwa kutunza kumbukumbu
10 years ago
Habarileo09 Dec
Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili
WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Wanasiasa wakumbushwa kumrudia Mungu
9 years ago
Habarileo04 Sep
Wanahabari wakumbushwa kutojihusisha na vyama
WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kutojihusisha na ushabiki wa vyama vya siasa wakati wa kuandika na kuhariri habari kuepuka hatarisha maisha yao.
9 years ago
Habarileo16 Sep
Waandishi wakumbushwa kujielimisha rushwa
WAANDISHI wa habari wametakiwa kujielimisha zaidi juu ya sheria mbalimbali za uchaguzi ili watambue ni mambo gani ambayo mgombea akiyafanya kwa wapiga kura inahesabika kuwa ni rushwa na yapi sio rushwa.