Waandishi wakumbushwa kujielimisha rushwa
WAANDISHI wa habari wametakiwa kujielimisha zaidi juu ya sheria mbalimbali za uchaguzi ili watambue ni mambo gani ambayo mgombea akiyafanya kwa wapiga kura inahesabika kuwa ni rushwa na yapi sio rushwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Aug
Waandishi wakumbushwa kuandika mambo ya msingi
WAANDISHI wa habari nchini wamekumbushwa kuwa wajibu wao si kuilaumu serikali kunapokuwa na mkanganyiko fulani, badala yake wanapaswa kusahihisha kwa kuandika mambo ya msingi yanayosaidia kujenga.
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Waandishi kortini kwa rushwa
WAANDISHI wawili wa habari wa Kampuni ya New Habari (2006), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakikabiliwa na kosa la kupokea rushwa ya sh.150,000 kutoka kwa mmiliki na Chuo...
10 years ago
Habarileo17 May
Waandishi waaswa kupiga vita rushwa
WAANDISHI wa Habari wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kutumia kalamu zao kupambana na rushwa sambamba na kusisitiza demokrasia na utawala bora katika nchi zao.
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
TAKUKURU Singida yawapiga msasa waandishi mapambano dhidi ya rushwa
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Joshua Msuya,akifungua mafunzo ya ushirikishwaji waandishi wa habari katika mapambano dhidi ya rushwa yaliyohudhuriwa na wanachama wa Singida Press Club mkoa wa Singida.Mafunzo hayo ya siku moja,yalifanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa TAKUKURU mjini hapa.Wa kwanza kushoto ni kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida,Jaffar Uledi na kulia ni Domina Mukama mratibu wa usimamiaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo (PETS coordinator).
9 years ago
Habarileo11 Nov
OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.
9 years ago
Habarileo02 Sep
Wakumbushwa sheria za uchaguzi
WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi zao na kuzijua Sheria za Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikiwemo kufahamu kwamba chombo chenye uwezo wa kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar ni Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Wazazi wakumbushwa kutunza kumbukumbu
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Wanasiasa wakumbushwa kumrudia Mungu
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Watendaji wakumbushwa wajibu wao