Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandishi wakumbushwa kujielimisha rushwa

WAANDISHI wa habari wametakiwa kujielimisha zaidi juu ya sheria mbalimbali za uchaguzi ili watambue ni mambo gani ambayo mgombea akiyafanya kwa wapiga kura inahesabika kuwa ni rushwa na yapi sio rushwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waandishi wakumbushwa kuandika mambo ya msingi

WAANDISHI wa habari nchini wamekumbushwa kuwa wajibu wao si kuilaumu serikali kunapokuwa na mkanganyiko fulani, badala yake wanapaswa kusahihisha kwa kuandika mambo ya msingi yanayosaidia kujenga.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waandishi kortini kwa rushwa

WAANDISHI wawili wa habari wa Kampuni ya New Habari (2006), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakikabiliwa na kosa la kupokea rushwa ya sh.150,000 kutoka kwa mmiliki na Chuo...

 

10 years ago

Habarileo

Waandishi waaswa kupiga vita rushwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWAANDISHI wa Habari wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kutumia kalamu zao kupambana na rushwa sambamba na kusisitiza demokrasia na utawala bora katika nchi zao.

 

10 years ago

Dewji Blog

TAKUKURU Singida yawapiga msasa waandishi mapambano dhidi ya rushwa

DSC04815

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Joshua Msuya,akifungua mafunzo ya ushirikishwaji waandishi wa habari katika mapambano dhidi ya rushwa yaliyohudhuriwa na wanachama wa Singida Press Club mkoa wa Singida.Mafunzo hayo ya siku moja,yalifanyika jana  kwenye ukumbi wa mikutano wa TAKUKURU mjini hapa.Wa kwanza kushoto ni kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida,Jaffar Uledi na kulia ni Domina Mukama mratibu wa usimamiaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo (PETS coordinator).

DSC04827

Mwanasheria wa...

 

9 years ago

Habarileo

OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.

 

9 years ago

Habarileo

Wakumbushwa sheria za uchaguzi

WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi zao na kuzijua Sheria za Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikiwemo kufahamu kwamba chombo chenye uwezo wa kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar ni Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi wakumbushwa kutunza kumbukumbu

Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Eugine Mwaiposa, amewataka wazazi kutunza kumbukumbu za watoto wao ili kuepuka usumbufu usio wa lazima pale zinapohitajika shuleni.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanasiasa wakumbushwa kumrudia Mungu

Wanasiasa wanaojiandaa kuingia katika Uchaguzi Mkuu, wametakiwa kumuomba Mungu ili awape nafasi hizo kwa njia sahihi kuliko kutumia ‘sangoma’.

 

10 years ago

Mwananchi

Watendaji wakumbushwa wajibu wao

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka viongozi kufahamu mipaka ya majukumu yao ili kuimarisha misingi ya utawala bora katika utendaji wa shughuli za Serikali visiwani hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani