Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanahabari wakumbushwa kutojihusisha na vyama

WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kutojihusisha na ushabiki wa vyama vya siasa wakati wa kuandika na kuhariri habari kuepuka hatarisha maisha yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

VYAMA 10 VILISIVYO NA UWAKILISHI BUNGENI VYAWATAKA VIONGOZI WA DINI KUTOJIHUSISHA NA SIASA

Katibu Mkuu wa Chama cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kwa niaba ya vyama 10 visivyo na uwakilishi wa wabunge Bungeni wakati wakitoa tamko kuhusu viongozi wa dini kutojihusisha na masuala ya siasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu 2015 . Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama cha Sauti ya Umma (Sau), Ali Kaniki na Katibu Mkuu wa Chama cha Wakulima Tanzania (AFP), Rashid Rai.Katibu Mkuu wa Chama cha Wakulima...

 

11 years ago

Michuzi

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA

 Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini,Bwa.Sistyl Nyahoza akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari  (hawapo pichani) mapema leo asubuhi kwenye Ukumbi wa Ruaha International,mkoani Iringa kuhusiana na masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la kalenga, ikiwa ni pamoja na Sheria ya gharama za Uchaguzi kwa wagombea na vyama husika vinavyoshiri katika Uchaguzi huo utakaofanyika machi 16 mwaka huu. Pichani wa tatu kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama vya...

 

11 years ago

GPL

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA‏

 Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Bwn. Sistyl Nyahoza akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani) mapema leo asubuhi kwenye Ukumbi wa Ruaha International, mkoani Iringa kuhusiana na masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la kalenga, ikiwa ni pamoja na Sheria ya gharama za Uchaguzi kwa wagombea na vyama husika vinavyoshiri katika Uchaguzi huo utakaofanyika machi 16...

 

9 years ago

Habarileo

Watendaji watakiwa kutojihusisha na siasa

WATENDAJI katika halmashauri za wilaya mkoani hapa wametakiwa kutojihusisha na masuala ya siasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, badala yake wawaachie wanasiasa kushughulikia kampeni zao.

 

9 years ago

Global Publishers

Blatter, Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka

Michel-PlatiniSepp-Blatte-001Platini (kushoto) akiwa na Blatter

Zurich, Uswisi
Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Fifa na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamekutwa na hatia katika sakata la rushwa na matumizi mabaya ya ofisi yaliyokuwa yakiwakabili na kila mmoja amefungiwa miaka 8 kutojihusisha na masuala yoyote yanayohusu mchezo wa soka.

PlatiniBlatter (kushoto) akiwa na Platini

Hukumu hiyo imetolewa na kamati ya maadili ya Fifa leo...

 

9 years ago

Habarileo

Wakumbushwa sheria za uchaguzi

WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi zao na kuzijua Sheria za Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikiwemo kufahamu kwamba chombo chenye uwezo wa kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar ni Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).

 

9 years ago

Habarileo

OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.

 

10 years ago

Vijimambo

BASATA YAMFUNGIA SHILOLE MWAKA MMOJA KUTOJIHUSISHA NA MUZIKI

Habari zilizotufikia jana usiku July 30 2015 kutoka Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) zinasema kuwa baraza hili limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.Kwa zaidi soma hii barua hapa chini



 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani