Mbinu hizi hutumiwa na wasafirishaji dawa za kulevya
Dar es Salaam. Usafirishaji na utumuaji dawa za kulevya unapigwa vita kila kona ya dunia. Lakini magenge ya watu wanaozalisha na kusafirisha dawa hizo wamekuwa wakitumia mbinu mbalimbali kufanikisha biashara hiyo haramu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-maIKnwOORpc/XlACbZ6UL_I/AAAAAAALewI/VEwoSWtymVoUImdmIh3ax6NhkoadtapIwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B01.jpg)
WASAFIRISHAJI DAWA ZA KULEVYA WABUNI MBINU MPYA MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-maIKnwOORpc/XlACbZ6UL_I/AAAAAAALewI/VEwoSWtymVoUImdmIh3ax6NhkoadtapIwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B01.jpg)
Jafari Idd Mshana Mkazi Wa Dar Es Salaam (Wakwanza kulia ) anayetuhumiwa kusafirisha wahamiaji haramu,akiwa na wahamiaji hao Raia wa Ethopia.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lq6lyZqtRg4/XlACbfYhKNI/AAAAAAALewM/vyYzejwwlPQ0UXImffy5SOjJU2wo_VUgQCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B02.jpg)
Gari aina ya prado lililotumika kusafirishia dawa za kulevya aina ya Bhangi.
NA FARIDA SAIDY MOROGORO
Kutokana na msako mkubwa unaofanywa na Jeshi la Polisi nchini waharifu wa makosa mbalimbali wakiwemo wasafirishaji wa dawa za kulevya wamebuni mbinu mpya za kusafirisha wa dawa hizo,ambapo wanatumia Madumu ya lita 20 kama kifungashio cha kubebea...
11 years ago
Mwananchi28 May
Wasafirishaji dawa za kulevya sasa wabuni njia mpya
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Wasafirishaji na wauzaji dawa za kulevya siku zako zinahesabika — JK
Rais Jakaya Kikwete akisalimia na Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe wakati akiingia katika uwanja wa Julius Nyerere International Airport (JNIA) kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria jijini Dar es Salaam.
.asema kama Rais wa nchi inamuuma sana kwa taifa kuwa uchochoro wa dawa hizo
.Rais asema watumishi wanaojihusisha na dawa za kulevya kuondolewa mara moja
.TAA watengeneza jengo jipya la abiria lenye mifumo ya kimataifa
Na Damas Makangale,...
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YABAINI MBINU MPYA INAYOTUMIKA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA .
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…
Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]
The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0G*4mlmktMqQ*uLR9OP3M5L1ahUu5vtCFmW*AUPb19xfJFljuFUID1*a9DWJYVG8z7cdItDxuIFajxIT1HTSMz/Love.jpg)
UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU -2