Wasafirishaji dawa za kulevya sasa wabuni njia mpya
Kikosi Kazi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimebaini njia mpya ya wasafirishaji, ambapo sasa wanapitisha nchi jirani ili wasigundulike kirahisi na baadaye huzifuata.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-maIKnwOORpc/XlACbZ6UL_I/AAAAAAALewI/VEwoSWtymVoUImdmIh3ax6NhkoadtapIwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B01.jpg)
WASAFIRISHAJI DAWA ZA KULEVYA WABUNI MBINU MPYA MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-maIKnwOORpc/XlACbZ6UL_I/AAAAAAALewI/VEwoSWtymVoUImdmIh3ax6NhkoadtapIwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B01.jpg)
Jafari Idd Mshana Mkazi Wa Dar Es Salaam (Wakwanza kulia ) anayetuhumiwa kusafirisha wahamiaji haramu,akiwa na wahamiaji hao Raia wa Ethopia.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lq6lyZqtRg4/XlACbfYhKNI/AAAAAAALewM/vyYzejwwlPQ0UXImffy5SOjJU2wo_VUgQCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B02.jpg)
Gari aina ya prado lililotumika kusafirishia dawa za kulevya aina ya Bhangi.
NA FARIDA SAIDY MOROGORO
Kutokana na msako mkubwa unaofanywa na Jeshi la Polisi nchini waharifu wa makosa mbalimbali wakiwemo wasafirishaji wa dawa za kulevya wamebuni mbinu mpya za kusafirisha wa dawa hizo,ambapo wanatumia Madumu ya lita 20 kama kifungashio cha kubebea...
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Mbinu hizi hutumiwa na wasafirishaji dawa za kulevya
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Wasafirishaji na wauzaji dawa za kulevya siku zako zinahesabika — JK
Rais Jakaya Kikwete akisalimia na Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe wakati akiingia katika uwanja wa Julius Nyerere International Airport (JNIA) kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria jijini Dar es Salaam.
.asema kama Rais wa nchi inamuuma sana kwa taifa kuwa uchochoro wa dawa hizo
.Rais asema watumishi wanaojihusisha na dawa za kulevya kuondolewa mara moja
.TAA watengeneza jengo jipya la abiria lenye mifumo ya kimataifa
Na Damas Makangale,...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Wauza ‘unga’ sasa wabuni mbinu mpya
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7eSrINH3cgM/VPc2Y3VzKRI/AAAAAAAHHuw/SVUFJFXyBhE/s72-c/UN%2B(2).jpg)
AFRIKA KUSINI YATAJWA KUWA NA NJIA NYINGI ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
Imeelezwa kuwa nchi ya Afrika Kusini katika bara la Afrika ndio inayoongoza kwa kuwa na njia nyingi za usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya Cocaine na Heroine .
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Habari wa Kituo Cha Habari wa Umoja wa Mataifa (UNIC),Stella Vuzo alisema kuwa hilo limetokana na ripoti ya Bodi ya Kupambana na Dawa za Kulevya ya Umoja wa Mataifa imeweka mkazo katika kwa nchi mwanachama kuweka mikakati katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Nov
Sheria mpya kudhibiti dawa za kulevya yaja
SERIKALI imetunga Sheria mpya kali zaidi itakayoondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa matumizi ya Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya Namba 9 ya mwaka 1995 inayotumika sasa.
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YABAINI MBINU MPYA INAYOTUMIKA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA .
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Wabuni njia ya kukabili magugu