Wabuni njia ya kukabili magugu
Ung’oaji wa magugu vamizi aina ya Chromoleana Oradata umetajwa kuwa ndiyo njia bora zaidi ya kudhibiti kuenea kwa magugu hayo wilayani Serengeti mkoani Mara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 May
Wasafirishaji dawa za kulevya sasa wabuni njia mpya
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Njia bora ya kukabili saratani ni kuibaini, kuitibu mapema
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Solomon Mugera: Hizi ndizo njia bora za kukabili habari feki mtandaoni
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
10 years ago
CloudsFM18 Feb
Magugu maji yasababisha kukwama kwa safari za majini ziwa victoria
Mimea ya magugu maji aina ya matende imetanda katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza kiasi cha kutatiza shughuli za usafiri na usafirishaji katika kivuko hicho ambacho ni kiungo muhimu cha usafiri kati ya mikoa ya Kanda ya Ziwa pamoja na nchi jirani.
Kutanda kwa mimea hiyo katika eneo lenye ukubwa wa takribani hekari 4 kulisababisha vivuko vya Mv Misungwi na Mv Sengerema kushindwa kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji kwa takriban siku tatu mfululizo baada ya kukosa eneo...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
RIPOTI MAALUM: Magugu ya ajabu yashambulia Hifadhi Serengeti, yaua misitu
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Wabuni mbinu ya kuwaangamiza dumuzi
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Wabuni mbinu kuepuka Vurugu viwanjani
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Madereva wabuni mbinu mpya ya mgomo
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Madereva Wafanyakazi Tanzania (TADWU), kimesema madereva nchi nzima watakuwa mapumziko kwa wiki moja au zaidi kwa ajili ya kujiunga na mafunzo ya udereva.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa TADWU, Rashid Said, alisema baada ya mazungumzo na Kamati ya Kudumu ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wameshindwa kuafikiana na kuona kuwa matajiri ndiyo wana nguvu zaidi kuliko wao waajiriwa.
Alisema kutokana na hali hiyo wameamua kutoendelea na...