Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabuni njia ya kukabili magugu

Ung’oaji wa magugu vamizi aina ya Chromoleana Oradata umetajwa kuwa ndiyo njia bora zaidi ya kudhibiti kuenea kwa magugu hayo wilayani Serengeti mkoani Mara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wasafirishaji dawa za kulevya sasa wabuni njia mpya

Kikosi Kazi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimebaini njia mpya ya wasafirishaji, ambapo sasa wanapitisha nchi jirani ili wasigundulike kirahisi na baadaye huzifuata.

 

10 years ago

Mwananchi

Njia bora ya kukabili saratani ni kuibaini, kuitibu mapema

Saratani ni moja ya magonjwa yanayoisumbua sana fani ya tiba kutokana na kuwa na mikanganyiko mingi katika kuitibu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Solomon Mugera: Hizi ndizo njia bora za kukabili habari feki mtandaoni

Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa ya magugu yauwa watu Nigeria

WHO yasema yafikiri dawa ya kuuwa magugu yauwa watu kadha Nigeria

 

10 years ago

CloudsFM

Magugu maji yasababisha kukwama kwa safari za majini ziwa victoria

Mimea ya magugu maji aina ya matende imetanda katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza kiasi cha kutatiza shughuli za usafiri na usafirishaji katika kivuko hicho ambacho ni kiungo muhimu cha usafiri kati ya mikoa ya Kanda ya Ziwa pamoja na nchi jirani.

Kutanda kwa mimea hiyo katika eneo lenye ukubwa wa takribani hekari 4 kulisababisha vivuko vya Mv Misungwi na Mv Sengerema kushindwa kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji kwa takriban siku tatu mfululizo baada ya kukosa eneo...

 

11 years ago

Mwananchi

RIPOTI MAALUM: Magugu ya ajabu yashambulia Hifadhi Serengeti, yaua misitu

>Maisha ya wanyamapori katika Hifadhi ya Serengeti na wanaoishi katika maeneo ya Mikoa ya Mara na Mwanza yapo hatarini kutokana na kugundulika kwa mmea hatari maarufu kwa jina la maguguvamizi na unaua majani na mimea mingine inayoota karibu yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabuni mbinu ya kuwaangamiza dumuzi

Kilio cha zaidi ya miaka 40 cha wakulima wa nchi za Afrika Mashariki na wa chini ya Jangwa la Sahara dhidi ya wadudu waharibifu wa mazao ya nafaka sasa kimepata suluhisho la kudumu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabuni mbinu kuepuka Vurugu viwanjani

Klabu ya Rucife Brazil yabuni mbinu ya kukabiliana na Vijana wanaoleta vurugu michezoni

 

9 years ago

Mtanzania

Madereva wabuni mbinu mpya ya mgomo

NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

CHAMA cha Madereva Wafanyakazi Tanzania (TADWU), kimesema madereva nchi nzima watakuwa mapumziko kwa wiki moja au zaidi kwa ajili ya kujiunga na mafunzo ya udereva.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa TADWU, Rashid Said, alisema baada ya mazungumzo na Kamati ya Kudumu ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wameshindwa kuafikiana na kuona kuwa matajiri ndiyo wana nguvu zaidi kuliko wao waajiriwa.

Alisema kutokana na hali hiyo wameamua kutoendelea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani