Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIPOTI MAALUM: Magugu ya ajabu yashambulia Hifadhi Serengeti, yaua misitu

>Maisha ya wanyamapori katika Hifadhi ya Serengeti na wanaoishi katika maeneo ya Mikoa ya Mara na Mwanza yapo hatarini kutokana na kugundulika kwa mmea hatari maarufu kwa jina la maguguvamizi na unaua majani na mimea mingine inayoota karibu yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa Mbugani” wa kampeni ya Tutoke na Serengeti akila bata ndani ya hifadhi ya Serengeti

PIC 1

Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka  ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Washauri maeneo ya misitu kuwa hifadhi

WANANCHI wa Jimbo la Dimani Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, wameitaka serikali kutenga maeneo ya hifadhi ya misitu ili kukabiliana na wimbi kubwa la uharibifu wa misitu ya hifadhi ikiwemo mikoko.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaisitisha Operesheni Toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu

 

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Ramo Makane amesitisha operesheni toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu kwa sasa hadi hapo Serikali itakapotoa agizo la nini cha kufanya akiwataka wafugaji kutoingiza tena mifugo mingine ndani ya hifadhi.

Hatua hiyo imekuja baada ya Wafugaji wa Kanda ya Ziwa kulalamika kukosa maeneo ya kufuga hasa kipindi hiki cha Kilimo.

Wakizungumza katika Mkutano na wakazi wa Ngara ambao wengi wanajihusisha na ufugaji katika pori la kimisi,kigosi na muyowosi wamesema...

 

10 years ago

Mwananchi

Tembo auawa hifadhi ya Serengeti

Pamoja na jitihada za Serikali katika kukabiliana na ujangili, tembo mmoja ameuawa katika Hifadhi ya Serengeti.

 

10 years ago

GPL

MAJANGILI WANASWA HIFADHI YA TAIFA SERENGETI

Nyama ya swala aliyeuawa na majangili ikiwa kwenye gari.
Majangiri wakipandishwa kwenye gari la askari wa wanyamapoli. Gari la askari wa wanayamapoli likiwapeleka majangiri katika Kituo cha Polisi cha Bunda.…

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakwaa kisiki Hifadhi ya Serengeti

>Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), imeizuia Serikali ya Tanzania kujenga barabara ya lami kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikieleza kuwa ujenzi huo utaathiri mazingira, maisha ya wanyamawwpori na baoanuai ya hifadhi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti

Watalii bilionea 100 kutoka nchi za Ulaya na Marekani wanaotumia ndege binafsi aina ya Boeing BBJ 737 HB-11Q wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuisifia, wakisema ni moja ya urithi wa dunia unaostahili kutunzwa kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Majangili yaua Faru Serengeti

Wizara ya Maliasili na Utalii, imetuma kikosi maalumu cha askari 20, ili kuongeza nguvu ya kuwasaka majangili walioua faru na kuchukua pembe zake, usiku wa kuamkia jana katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mshindi wa pili “Mtoko wa Mbugani” akivinjari ndani ya hifadhi ya Serengeti

Pic 1

Mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Deogratias Peter Mbogole (kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku mbili ndani ya hifadhi hiyo…Hapa ni Tarangire river view waliposimama kujionea kundi kubwa la tembo wakivuka barabara. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA.

Pic 2

Mshindi wa mtoko wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani