RIPOTI MAALUM: Magugu ya ajabu yashambulia Hifadhi Serengeti, yaua misitu
>Maisha ya wanyamapori katika Hifadhi ya Serengeti na wanaoishi katika maeneo ya Mikoa ya Mara na Mwanza yapo hatarini kutokana na kugundulika kwa mmea hatari maarufu kwa jina la maguguvamizi na unaua majani na mimea mingine inayoota karibu yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa Mbugani” wa kampeni ya Tutoke na Serengeti akila bata ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Washauri maeneo ya misitu kuwa hifadhi
WANANCHI wa Jimbo la Dimani Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, wameitaka serikali kutenga maeneo ya hifadhi ya misitu ili kukabiliana na wimbi kubwa la uharibifu wa misitu ya hifadhi ikiwemo mikoko.
9 years ago
StarTV24 Dec
Serikali yaisitisha Operesheni Toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Ramo Makane amesitisha operesheni toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu kwa sasa hadi hapo Serikali itakapotoa agizo la nini cha kufanya akiwataka wafugaji kutoingiza tena mifugo mingine ndani ya hifadhi.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wafugaji wa Kanda ya Ziwa kulalamika kukosa maeneo ya kufuga hasa kipindi hiki cha Kilimo.
Wakizungumza katika Mkutano na wakazi wa Ngara ambao wengi wanajihusisha na ufugaji katika pori la kimisi,kigosi na muyowosi wamesema...
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Tembo auawa hifadhi ya Serengeti
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4N1RT-Ep-qZSZXHft8OKKTJ2H4VuwJmGpkOYy8Vw18agp-59sjgzISmBSpQOHROryKfD2IKX3ihFmde68X3jQG/MAJANGIRI1.jpg)
MAJANGILI WANASWA HIFADHI YA TAIFA SERENGETI
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Serikali yakwaa kisiki Hifadhi ya Serengeti
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Majangili yaua Faru Serengeti
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Mshindi wa pili “Mtoko wa Mbugani” akivinjari ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Deogratias Peter Mbogole (kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku mbili ndani ya hifadhi hiyo…Hapa ni Tarangire river view waliposimama kujionea kundi kubwa la tembo wakivuka barabara. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA.
Mshindi wa mtoko wa...