Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaisitisha Operesheni Toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu

 

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Ramo Makane amesitisha operesheni toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu kwa sasa hadi hapo Serikali itakapotoa agizo la nini cha kufanya akiwataka wafugaji kutoingiza tena mifugo mingine ndani ya hifadhi.

Hatua hiyo imekuja baada ya Wafugaji wa Kanda ya Ziwa kulalamika kukosa maeneo ya kufuga hasa kipindi hiki cha Kilimo.

Wakizungumza katika Mkutano na wakazi wa Ngara ambao wengi wanajihusisha na ufugaji katika pori la kimisi,kigosi na muyowosi wamesema...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mkulima, ng’ombe 71 wauawa Morogoro

MKULIMA mmoja ameuawa kwa kuchomwa na mkuki na zaidi ya ng’ombe 71 wameuawa kwa kukatwakatwa mapanga wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji, yaliyotokea katika Kijiji cha Dihinda katika Kata ya Kanga Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro.

 

9 years ago

Habarileo

Wafugaji wakimbia kijiji alikouawa mtu, ng’ombe 71

WAFUGAJI waliovamia maeneo ya wakulima katika kijiji cha Dihinda wilayani Mvomero mkoani Mogorogo na kusababisha mapigano yaliyoua mkulima na ng’ombe 71, wamekimbia kijijini hapo na kutokomea kusikojulikana.

 

9 years ago

Mtanzania

Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mtu mmoja, ng’ombe 71 Morogoro

FB_IMG_1450111743756NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

MTU mmoja amefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa, akiwamo askari polisi mmoja baada ya kutokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Dihinda, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dihinda, Hariri Kilama, alisema tukio hilo lilitokea Desemba 11, saa 11 jioni.

Kwa mujibu wa Kilama, tukio hilo lilisababishwa na mfugaji mmoja aliyejulikana kwa jina...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi Igunga lashikiliwa Ng’ombe 320 waliovamia mashamba ya wakulima na watu saba watuhumiwa kuharibu mali na kujeruhi

SAM_0325

Ng’ombe wa wafugaji wa kabila la Kitaturu waishio kijiji cha Isakamaliwa, Wilayani Igunga wakiwa katika kituo cha Polisi Igunga wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia mashamba ya wakulima wa kijiji hicho.

SAM_0327

SAM_0328

Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Isakamaliwa ambao mashamba yao yalivamiwa na mifugo hiyo wakiwa kituo cha Polisi wakisubiri maelekezo ya askari mara baada ya kuwafikisha Ng’ombe waliovamia mashamba yao na kuwasababishia hasara.

Na Jumbe Ismailly,Igunga    

JESHI la polisi wilayani...

 

11 years ago

Habarileo

Washauri maeneo ya misitu kuwa hifadhi

WANANCHI wa Jimbo la Dimani Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, wameitaka serikali kutenga maeneo ya hifadhi ya misitu ili kukabiliana na wimbi kubwa la uharibifu wa misitu ya hifadhi ikiwemo mikoko.

 

11 years ago

Mwananchi

RIPOTI MAALUM: Magugu ya ajabu yashambulia Hifadhi Serengeti, yaua misitu

>Maisha ya wanyamapori katika Hifadhi ya Serengeti na wanaoishi katika maeneo ya Mikoa ya Mara na Mwanza yapo hatarini kutokana na kugundulika kwa mmea hatari maarufu kwa jina la maguguvamizi na unaua majani na mimea mingine inayoota karibu yake.

 

11 years ago

GPL

M4C OPERESHENI PAMOJA DAIMA NDANI YA IRINGA

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia maelfu ya wakazi wa Manispaa ya Iringa, katika mkutano wa hadhara wa Operesehni M4C Pamoja Daima, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Togwa jana. Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akihutubia katika mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Togwa mjini Iringa…...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA

 Moto ukiendelea kuwaka kabla ya kuanza kuzima na ntambo wa zima moto Mtambo wa zima moto ukirusha maji umbali wa mita 100 kuzima moto uliokuwa unawaka katika eno hilo wakati wa tukio la uzinduzi wa mtambo huo uliofanyika Mlandizi mkoani Pwani Mtambo wa kuzima moto ukiendelea kutoa maji kwa ajili ya kuzima moto uliokuwa umewashwa na watumishi wa TFS kwa ajili ya kuonesha uwezo wa mtambo huo kwenye kuzima moto Watumishi wa TFS ambao wamepata mafunzo ya kuzima moto kwa kutumia mtambo huo...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa

Serikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu katika Hifadhi ya Msitu wa Mazingira asilia wa Chome (Shengena) Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro kwa kutumia ulinzi shirikishi unaohusisha vijiji 27 vinavyoizunguka hifadhi hiyo.
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani