Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafugaji wakimbia kijiji alikouawa mtu, ng’ombe 71

WAFUGAJI waliovamia maeneo ya wakulima katika kijiji cha Dihinda wilayani Mvomero mkoani Mogorogo na kusababisha mapigano yaliyoua mkulima na ng’ombe 71, wamekimbia kijijini hapo na kutokomea kusikojulikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mtu mmoja, ng’ombe 71 Morogoro

FB_IMG_1450111743756NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

MTU mmoja amefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa, akiwamo askari polisi mmoja baada ya kutokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Dihinda, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dihinda, Hariri Kilama, alisema tukio hilo lilitokea Desemba 11, saa 11 jioni.

Kwa mujibu wa Kilama, tukio hilo lilisababishwa na mfugaji mmoja aliyejulikana kwa jina...

 

9 years ago

Habarileo

Mkulima, ng’ombe 71 wauawa Morogoro

MKULIMA mmoja ameuawa kwa kuchomwa na mkuki na zaidi ya ng’ombe 71 wameuawa kwa kukatwakatwa mapanga wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji, yaliyotokea katika Kijiji cha Dihinda katika Kata ya Kanga Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaisitisha Operesheni Toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu

 

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Ramo Makane amesitisha operesheni toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu kwa sasa hadi hapo Serikali itakapotoa agizo la nini cha kufanya akiwataka wafugaji kutoingiza tena mifugo mingine ndani ya hifadhi.

Hatua hiyo imekuja baada ya Wafugaji wa Kanda ya Ziwa kulalamika kukosa maeneo ya kufuga hasa kipindi hiki cha Kilimo.

Wakizungumza katika Mkutano na wakazi wa Ngara ambao wengi wanajihusisha na ufugaji katika pori la kimisi,kigosi na muyowosi wamesema...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi Igunga lashikiliwa Ng’ombe 320 waliovamia mashamba ya wakulima na watu saba watuhumiwa kuharibu mali na kujeruhi

SAM_0325

Ng’ombe wa wafugaji wa kabila la Kitaturu waishio kijiji cha Isakamaliwa, Wilayani Igunga wakiwa katika kituo cha Polisi Igunga wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia mashamba ya wakulima wa kijiji hicho.

SAM_0327

SAM_0328

Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Isakamaliwa ambao mashamba yao yalivamiwa na mifugo hiyo wakiwa kituo cha Polisi wakisubiri maelekezo ya askari mara baada ya kuwafikisha Ng’ombe waliovamia mashamba yao na kuwasababishia hasara.

Na Jumbe Ismailly,Igunga    

JESHI la polisi wilayani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji watozwa 3,000/- kwa kila ng’ombe

WAFUGAJI wilayani Kilindi, Tanga, wameitaka serikali kuwatendea haki sawa na wakulima katika kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari za kata. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wafugaji hao walisema...

 

10 years ago

Michuzi

DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Titus Kamani, amekabidhi mikopo ya Ng’ombe wa maziwa themanini na tatu (83) kwa kikundi cha wafugaji cha Somangira walioko Kigamboni wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
Ng’ombe hao ambao wamenunuliwa kwa mkopo uliotolewa na Covenant Bank wana uwezo wa kuzalisha maziwa zaidi ya Lita 20 kwa siku. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo Waziri Kamani ametanabaisha  kuwa mikopo ya aina hiyo italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya mifugo.
“Kitendo cha...

 

11 years ago

Michuzi

Wafugaji wa Ng,ombe Chato Watakiwa Kuachana na Ufugaji wa Mazoea

Na Richard Bagolele-Chato.
Wafugaji wa Ngo’ombe Wilayani Chato mkoani Geita wameaswa kuachana na ufugaji wa mazoea na badala yake wafuge kisasa zaidi. Wito huo umetolewa leo Wilayani hapa na Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Rodrick Mpogolo wakati akifungua  kikao cha pamoja na wafugaji wa Ng’ombe na wataalam wa mifugo ambacho pia kilidhuriwa na mwekezaji wa kiwanda cha kusindika nyama kutoka jijini Mwanza cha Chobo Investiment.
Mkuu wa Wilaya ya Chato amesema wafugaji wengi nchini wamekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti wa kijiji Rorya mbaroni wizi wa ng’ombe

JESHI la Polisi Rorya linamshikilia Mwenyekiti wa Kijiji cha Marasibora, Kata ya Kisumwa, Sproza Charles, kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe watatu wa ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kikundi cha wafugaji wa Ng’ombe wa kisasa wahaidiwa mkopo na Covenant Benki

001.MEDIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya wanawake ya Covenant  Bi,Sabetha Mwambenja  akisisitiza jambo  wakati alipokuwa akiongea na kikundi cha wafugaji wa Ng’ombe wa kisasa cha  Kata ya Somangila kiilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, kuhusiana  na mradi wa ufugaji wa kisasa wa  ng’ombe wa maziwa   unaovihusisha vikundi vitatu  vya kata  hiyo ambapo wafugaji hao watapata mkopo wa kuendeleza mradi huo kutoka Covenant  benki.

002.MEDIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya wanawake ya Covenant Bi. Sabetha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani