Wafugaji wakimbia kijiji alikouawa mtu, ng’ombe 71
WAFUGAJI waliovamia maeneo ya wakulima katika kijiji cha Dihinda wilayani Mvomero mkoani Mogorogo na kusababisha mapigano yaliyoua mkulima na ng’ombe 71, wamekimbia kijijini hapo na kutokomea kusikojulikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mtu mmoja, ng’ombe 71 Morogoro
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
MTU mmoja amefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa, akiwamo askari polisi mmoja baada ya kutokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Dihinda, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dihinda, Hariri Kilama, alisema tukio hilo lilitokea Desemba 11, saa 11 jioni.
Kwa mujibu wa Kilama, tukio hilo lilisababishwa na mfugaji mmoja aliyejulikana kwa jina...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Mkulima, ng’ombe 71 wauawa Morogoro
MKULIMA mmoja ameuawa kwa kuchomwa na mkuki na zaidi ya ng’ombe 71 wameuawa kwa kukatwakatwa mapanga wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji, yaliyotokea katika Kijiji cha Dihinda katika Kata ya Kanga Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro.
9 years ago
StarTV24 Dec
Serikali yaisitisha Operesheni Toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Ramo Makane amesitisha operesheni toa Ng’ombe ndani ya hifadhi ya misitu kwa sasa hadi hapo Serikali itakapotoa agizo la nini cha kufanya akiwataka wafugaji kutoingiza tena mifugo mingine ndani ya hifadhi.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wafugaji wa Kanda ya Ziwa kulalamika kukosa maeneo ya kufuga hasa kipindi hiki cha Kilimo.
Wakizungumza katika Mkutano na wakazi wa Ngara ambao wengi wanajihusisha na ufugaji katika pori la kimisi,kigosi na muyowosi wamesema...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Jeshi la Polisi Igunga lashikiliwa Ng’ombe 320 waliovamia mashamba ya wakulima na watu saba watuhumiwa kuharibu mali na kujeruhi
Ng’ombe wa wafugaji wa kabila la Kitaturu waishio kijiji cha Isakamaliwa, Wilayani Igunga wakiwa katika kituo cha Polisi Igunga wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia mashamba ya wakulima wa kijiji hicho.
Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Isakamaliwa ambao mashamba yao yalivamiwa na mifugo hiyo wakiwa kituo cha Polisi wakisubiri maelekezo ya askari mara baada ya kuwafikisha Ng’ombe waliovamia mashamba yao na kuwasababishia hasara.
Na Jumbe Ismailly,Igunga
JESHI la polisi wilayani...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Wafugaji watozwa 3,000/- kwa kila ng’ombe
WAFUGAJI wilayani Kilindi, Tanga, wameitaka serikali kuwatendea haki sawa na wakulima katika kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari za kata. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wafugaji hao walisema...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--VD3gvToaGA/VEeknsxA6nI/AAAAAAAGspU/XXvOXHLSdPE/s72-c/001.jpg)
DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO
Ng’ombe hao ambao wamenunuliwa kwa mkopo uliotolewa na Covenant Bank wana uwezo wa kuzalisha maziwa zaidi ya Lita 20 kwa siku. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo Waziri Kamani ametanabaisha kuwa mikopo ya aina hiyo italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya mifugo.
“Kitendo cha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LwyxPPsl1wU/U5gWGdiSyqI/AAAAAAAFpu0/UKMeJ_FWha4/s72-c/01.jpg)
Wafugaji wa Ng,ombe Chato Watakiwa Kuachana na Ufugaji wa Mazoea
Wafugaji wa Ngo’ombe Wilayani Chato mkoani Geita wameaswa kuachana na ufugaji wa mazoea na badala yake wafuge kisasa zaidi. Wito huo umetolewa leo Wilayani hapa na Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Rodrick Mpogolo wakati akifungua kikao cha pamoja na wafugaji wa Ng’ombe na wataalam wa mifugo ambacho pia kilidhuriwa na mwekezaji wa kiwanda cha kusindika nyama kutoka jijini Mwanza cha Chobo Investiment.
Mkuu wa Wilaya ya Chato amesema wafugaji wengi nchini wamekuwa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Mwenyekiti wa kijiji Rorya mbaroni wizi wa ng’ombe
JESHI la Polisi Rorya linamshikilia Mwenyekiti wa Kijiji cha Marasibora, Kata ya Kisumwa, Sproza Charles, kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe watatu wa ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Kikundi cha wafugaji wa Ng’ombe wa kisasa wahaidiwa mkopo na Covenant Benki
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya wanawake ya Covenant Bi,Sabetha Mwambenja akisisitiza jambo wakati alipokuwa akiongea na kikundi cha wafugaji wa Ng’ombe wa kisasa cha Kata ya Somangila kiilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, kuhusiana na mradi wa ufugaji wa kisasa wa ng’ombe wa maziwa unaovihusisha vikundi vitatu vya kata hiyo ambapo wafugaji hao watapata mkopo wa kuendeleza mradi huo kutoka Covenant benki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya wanawake ya Covenant Bi. Sabetha...