Kikundi cha wafugaji wa Ng’ombe wa kisasa wahaidiwa mkopo na Covenant Benki
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya wanawake ya Covenant Bi,Sabetha Mwambenja akisisitiza jambo wakati alipokuwa akiongea na kikundi cha wafugaji wa Ng’ombe wa kisasa cha Kata ya Somangila kiilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, kuhusiana na mradi wa ufugaji wa kisasa wa ng’ombe wa maziwa unaovihusisha vikundi vitatu vya kata hiyo ambapo wafugaji hao watapata mkopo wa kuendeleza mradi huo kutoka Covenant benki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya wanawake ya Covenant Bi. Sabetha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKIKUNDI CHA WAFUGAJI WA NG'OMBE WA KISASA WAHAIDIWA MKOPO NA BENKI YA COVENANT
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MgmrGlA_HTA/U53XTxwFu7I/AAAAAAAFqxI/c4x1QOHqK94/s72-c/unnamed+(28).jpg)
KIKUNDI CHA WAFUGAJI WA NG'OMBE WA KISASA WAAHIDIWA MKOPO NA COVENANT BENKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MgmrGlA_HTA/U53XTxwFu7I/AAAAAAAFqxI/c4x1QOHqK94/s1600/unnamed+(28).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4n-G4x4OQvw/VLfY5b4YCjI/AAAAAAAG9mA/RvMBgpS7PEE/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wakomboa Kikundi cha Iringa Promise Keepers
![](http://1.bp.blogspot.com/-4n-G4x4OQvw/VLfY5b4YCjI/AAAAAAAG9mA/RvMBgpS7PEE/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PzMvlCptR3o/VLfY5aB_ubI/AAAAAAAG9l8/70ijWEY5rko/s1600/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1hSEGrJ1bQ/VJssnTwORhI/AAAAAAAG5qk/vyIz_ZMKMP4/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Kikundi cha Ngara Youth Foundation kimeishukuru Serikali kwa kupatiwa Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
11 years ago
GPLBENKI YA COVENANT YAZINDUA HUDUMA YA BENKI MTAANI KWAKO
5 years ago
MichuziBenki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB yaipatia Tanzania Mkopo wa Masharti Nafuu kiasi cha shilingi trilioni 1.14
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Covenant yaja na huduma benki mtaaniÂ
BENKI ya Covenant inayomilikiwa na wanawake nchini imezindua huduma mpya ya benki mtaani yenye lengo la kuwawezesha wateja kuweka na kutoa fedha katika akaunti zao kupitia simu ya mkononi. Uzinduzi...
11 years ago
GPLBENKI YA COVENANT YATOA MAABASI NA BAJAJI KWA WAJASIRIAMALI
11 years ago
MichuziBenki ya wanawake, SUMA JKT kuanzisha kilimo cha kisasa ya umwagiliaji
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wanawake, Bi.Margareth Chacha, amewaambia waandishi wa habari hivi karibuni kuwa ubia huo pia utawanufaisha sana wakulima wadogo wadogo ambao wanayazunguka maeneo ya JKT kwani mazao yao watayauza kwa JKT.
“Makubaliano haya ni hatua...