Kikundi cha Ngara Youth Foundation kimeishukuru Serikali kwa kupatiwa Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1hSEGrJ1bQ/VJssnTwORhI/AAAAAAAG5qk/vyIz_ZMKMP4/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Na Anitha Jonas – Maelezo, Kagera Kikundi cha vijana cha Ngara Youth Foundation chenye wanachama wapatao kumi na moja waliomaliza elimu ya juu wamenufaika baada ya kupata mkopo wa Milioni tano kupitia mfuko wa Maendeleo ya Vijana na kuanzisha miradi miwili ikiwemo mradi wa kuuza mbao na mradi wa kuosha magari. Hayo yalisemwa jana na Katibu wa kikundi hicho Bw. Jason Athanas alipotembelewa na maafisa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kutathimini miradi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4n-G4x4OQvw/VLfY5b4YCjI/AAAAAAAG9mA/RvMBgpS7PEE/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wakomboa Kikundi cha Iringa Promise Keepers
![](http://1.bp.blogspot.com/-4n-G4x4OQvw/VLfY5b4YCjI/AAAAAAAG9mA/RvMBgpS7PEE/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PzMvlCptR3o/VLfY5aB_ubI/AAAAAAAG9l8/70ijWEY5rko/s1600/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xOY1FTblYL0/VTdBEfNcW3I/AAAAAAAHSb4/TW4kUw7i4Ic/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Miradi inayokopesheka chanzo cha kupata Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana — Riwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-xOY1FTblYL0/VTdBEfNcW3I/AAAAAAAHSb4/TW4kUw7i4Ic/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZSKFhkl36PQ/VTdBEVLmUvI/AAAAAAAHSbw/NelnzHcYeg8/s1600/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
MichuziVijana watakiwa kuzingatia vigezo wanapoomba mkopo Mfuko wa Maendeleo
Hayo yalisemwa na Afisa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi.Amina Sanga alipokuwa akitoa elimu ya mfuko wa Maendeleo ya Vijana kata ya Puge leo hii.
“Vijana mzingatie sana vigezo wakati wa kuomba mikopo hii kutoka mfuko wa Maendeleo ya Vijana kwani bila ivyo mtaishia...
10 years ago
MichuziMHE. BALOZI PHILIP MARMO AWEKA SAINI MKATABA WA MKOPO KUTOKA MFUKO WA MAENDELEO YA KIMATAIFA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7YpYxh-TNdU/U6BJaoV9d2I/AAAAAAAFrQ8/Fv4iMZKbhhQ/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Vijana wa Babati wapata Mafunzo kuhusu upatikanaji wa Mikopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana
Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati waaswa kuzingatia Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana ya Mwaka 2007 ili kuweza kuleta maendeleo katika Halmashauri ya Mji wa Babati na hivyo kuwa chachu ya maendeleo nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Venerose Mtenga wakati wa Mafunzo kwa Vijana kuhusu upatikanaji wa Mikopo kupitia Mfuko wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--QOE97MwvLU/Voov7Ned42I/AAAAAAAAeuI/iN8vYYwYLeA/s72-c/1.jpg)
KIKUNDI CHA TUWAJALI FOUNDATION CHAANZA MWAKA KWA KUSAIDIA KITUO CHA SIFA KILICHOPO BUNJU B DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/--QOE97MwvLU/Voov7Ned42I/AAAAAAAAeuI/iN8vYYwYLeA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JZiwE7Yhgd4/VopD_vrGtfI/AAAAAAAAeu4/fv4xShcehXs/s640/DzTyev0v.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qO4UQP6QCgU/VoowEh7rK-I/AAAAAAAAeuY/avfmFGSKGOA/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9p0EZOgC3Yk/VoowLgzzhjI/AAAAAAAAeuo/hjg3SHZcfLs/s640/5.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MgmrGlA_HTA/U53XTxwFu7I/AAAAAAAFqxI/c4x1QOHqK94/s72-c/unnamed+(28).jpg)
KIKUNDI CHA WAFUGAJI WA NG'OMBE WA KISASA WAAHIDIWA MKOPO NA COVENANT BENKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MgmrGlA_HTA/U53XTxwFu7I/AAAAAAAFqxI/c4x1QOHqK94/s1600/unnamed+(28).jpg)
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Kikundi cha wafugaji wa Ng’ombe wa kisasa wahaidiwa mkopo na Covenant Benki
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya wanawake ya Covenant Bi,Sabetha Mwambenja akisisitiza jambo wakati alipokuwa akiongea na kikundi cha wafugaji wa Ng’ombe wa kisasa cha Kata ya Somangila kiilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, kuhusiana na mradi wa ufugaji wa kisasa wa ng’ombe wa maziwa unaovihusisha vikundi vitatu vya kata hiyo ambapo wafugaji hao watapata mkopo wa kuendeleza mradi huo kutoka Covenant benki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya wanawake ya Covenant Bi. Sabetha...
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Wilaya ya Same na Mwanga yapata kiasi cha shilingi bilioni 56.10 kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait wakisubiri kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzisha mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kulia kwake ni Bw. Abdulwahab A. Al- Bader ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha...