Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miradi inayokopesheka chanzo cha kupata Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana — Riwa

Mhamasishaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Ester Riwa katikati akizungumza na Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Monduli Bibi. Rose Mhina kulia kabla ya kukutana na vijana wa Kata ya Monduli juu na Kata ya Mfereji kutoa elimu ya ujasiriamali na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo katika Halmashauri ya Monduli Mkoa wa Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele.Mhamasishaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wakomboa Kikundi cha Iringa Promise Keepers

Afisa Maendeleo ya Vijana Wilaya ya Chamwino Bw. Denis Vagela (kushoto) akizungumza na Vijana wa kikundi cha Wajasiriamali wa Wilaya ya Chamwino wanaojishughulisha na utengenezaji wa Sabuni za maji, Batiki na ufundi walipotembelewa kwa ajili ya kuangalia mradi wao leo Mkoani Dodoma. Katikati ni Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa, na aliyekaa ni Afisa Vijana Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Bi. Amina Sanga. Wakwanza mbele ni...

 

10 years ago

Michuzi

Kikundi cha Ngara Youth Foundation kimeishukuru Serikali kwa kupatiwa Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.

 Na Anitha Jonas – Maelezo, Kagera Kikundi cha vijana cha Ngara Youth Foundation chenye wanachama wapatao kumi na moja waliomaliza elimu ya juu wamenufaika baada ya kupata mkopo wa Milioni tano kupitia mfuko wa Maendeleo ya Vijana na kuanzisha miradi miwili ikiwemo mradi wa kuuza mbao na mradi wa kuosha magari. Hayo yalisemwa jana na Katibu wa kikundi hicho Bw. Jason Athanas alipotembelewa na maafisa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kutathimini miradi...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana watakiwa kuzingatia vigezo wanapoomba mkopo Mfuko wa Maendeleo

Vijana wa Tarafa ya Puge wilayani Nzega wameaswa kuzingatia vigezo wanapokuwa wanaomba mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana ulio chini ya Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.
Hayo yalisemwa na Afisa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi.Amina Sanga alipokuwa akitoa elimu ya mfuko wa Maendeleo ya Vijana kata ya Puge leo hii.
“Vijana mzingatie sana vigezo wakati wa kuomba mikopo hii kutoka mfuko wa Maendeleo ya Vijana kwani bila ivyo mtaishia...

 

10 years ago

Michuzi

MHE. BALOZI PHILIP MARMO AWEKA SAINI MKATABA WA MKOPO KUTOKA MFUKO WA MAENDELEO YA KIMATAIFA

Mhe. Balozi Philip S. Marmo wa Ubalozi wa Tanzania Ujerumani yuko Vienna, Austria tarehe 9 Septemba, 2014 kuweka saini Mkopo kwa mradi wa tatu wa kupunguza umasikini wa Dola za Marekani 16,350,000 na mradi wa kuendeleza Elimu wa Dola za Marekani 10,200.000. Miradi hiyo itatekelezwa na serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Mheshimiwa Balozi Marmo anawakilisha pia Austria kutoka Ujerumani. Mkataba huo ulisainiwa katika ofisi za OFID, Vienna, Austria kati yake na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa OPEC kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Vijana wa Babati wapata Mafunzo kuhusu upatikanaji wa Mikopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana

Na: Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikalini - WHVUM
Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati waaswa kuzingatia Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana ya Mwaka 2007 ili kuweza kuleta maendeleo katika Halmashauri ya Mji wa Babati na hivyo kuwa chachu ya maendeleo nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Venerose Mtenga wakati wa Mafunzo kwa Vijana kuhusu upatikanaji wa Mikopo kupitia Mfuko wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wilaya ya Same na Mwanga yapata kiasi cha shilingi bilioni 56.10 kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait

DSCI0175

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait wakisubiri kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzisha mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kulia kwake ni Bw. Abdulwahab A. Al- Bader ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha...

 

10 years ago

Michuzi

Elimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yawafikia Vijana wa Mbeya Vijijini

Na Genofeva Matemu – Maelezo, Mbeya
Vijana wa Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya Vijijini wametakiwa kutokuwa na tafsiri hasi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwa ni takrima inayotolewa na serikali kwa vijana hivyo kuchezea fedha hizo na kushindwa kurejesha mkopo watakaouomba kupitia mfuko huo.
Hayo yamesemwa na Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wakati wa semina iliyotolewa kwa Vijana wa Mbeya Vijijini kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Stadi za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wilayani Kasulu wapewa somo kuhusu fursa za Mfuko wa Maendeleo ya Vijana

KS1a

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Dani Makanga akizungumza na wajumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo waliofika ofsini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kabla ya kuendelea na ratiba yao ya mafunzo kwa Vijana wa Halmashauri za Kasulu na Bihigwe leo mjini Kasulu. Katikati ni Mkuu wa msafara huo ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa na wa kwanza kushoto ni Afisa Vijana wa wizara hiyo Bi. Amina...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana Manispaa ya Kigoma Ujiji wahamasishwa kuchangamkia fursa za mfuko wa Maendeleo ya Vijana

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Maendleo ya Jamii Bw. Xavier Keebwe akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa vijana kuhusu Sera ya maendeleo ya Vijana, Stadi za Maisha,Ujuzi, Mwongozo wa Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yaliyotolewa na wawezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ambapo jumla ya zaidi ya Vijana 60 kutoka katika halmashauri za Manispaa ya Kigoma Ujiji, Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza na Kigoma Vijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani