Wafugaji watozwa 3,000/- kwa kila ng’ombe
WAFUGAJI wilayani Kilindi, Tanga, wameitaka serikali kuwatendea haki sawa na wakulima katika kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari za kata. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wafugaji hao walisema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Watozwa Sh50,000 kwa kutupa taka ovyo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--VD3gvToaGA/VEeknsxA6nI/AAAAAAAGspU/XXvOXHLSdPE/s72-c/001.jpg)
DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO
Ng’ombe hao ambao wamenunuliwa kwa mkopo uliotolewa na Covenant Bank wana uwezo wa kuzalisha maziwa zaidi ya Lita 20 kwa siku. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo Waziri Kamani ametanabaisha kuwa mikopo ya aina hiyo italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya mifugo.
“Kitendo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wcOrqPl1qbM/VEgAmMTGKjI/AAAAAAAGszg/ac450JYdscI/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
WAZIRI DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO KIGAMBONI, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-wcOrqPl1qbM/VEgAmMTGKjI/AAAAAAAGszg/ac450JYdscI/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QcP9u0u7Y9M/VEgAmKTywiI/AAAAAAAGszo/KZzPAuKwUV0/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-P8v6sd3M26k/VFicplXPwJI/AAAAAAAGvY4/hMFlb2PKJcM/s72-c/IMG_6448.jpg)
Zanchick watoa msaada wa chanjo 600,000 kwa wafugaji kuku Zanzibar
Meneja wa Uendeshaji, kutoka Zanchick, Bwana Christopher Kontonasios alisema: “Tunashukuru Wizara ya Ufugaji na Uvuvi kwa kuwa washiriki wakubwa katika ...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Zanchick watoa msaada wa chanjo 600,000 kwa wafugaji kuku Zanzibar
Mkurugenzi wa Kampuni inayojishughulisha na uboreshaji wa kuku Zanzibar(Zanchick) Bw.Issa Khasim Issa akikabidhi chanjo 600,000 zenye thamani ya Tshs 9,000,000 kwa Naibu katibu katika kitengo cha kutoa huduma kwa wanyama kutoka Wizara ya Ufugaji na Uvuvi Zanzibar, Dr.Omar Ali Amir kwa ajili ya kuwalinda kuku na ugonjwa wa Mdondo, anayeshuhudia kulia Mkurugenzi katika kitengo cha kutoa huduma kwa wanyama kutoka Wizara ya Ufugaji na Uvuvi Zanzibar, Dr.Yusuf Hajj Khamis.
Kampuni...
9 years ago
Habarileo16 Dec
Wafugaji wakimbia kijiji alikouawa mtu, ng’ombe 71
WAFUGAJI waliovamia maeneo ya wakulima katika kijiji cha Dihinda wilayani Mvomero mkoani Mogorogo na kusababisha mapigano yaliyoua mkulima na ng’ombe 71, wamekimbia kijijini hapo na kutokomea kusikojulikana.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LwyxPPsl1wU/U5gWGdiSyqI/AAAAAAAFpu0/UKMeJ_FWha4/s72-c/01.jpg)
Wafugaji wa Ng,ombe Chato Watakiwa Kuachana na Ufugaji wa Mazoea
Wafugaji wa Ngo’ombe Wilayani Chato mkoani Geita wameaswa kuachana na ufugaji wa mazoea na badala yake wafuge kisasa zaidi. Wito huo umetolewa leo Wilayani hapa na Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Rodrick Mpogolo wakati akifungua kikao cha pamoja na wafugaji wa Ng’ombe na wataalam wa mifugo ambacho pia kilidhuriwa na mwekezaji wa kiwanda cha kusindika nyama kutoka jijini Mwanza cha Chobo Investiment.
Mkuu wa Wilaya ya Chato amesema wafugaji wengi nchini wamekuwa...
11 years ago
Habarileo21 Jun
Wanawake 8,000 hufa kwa ujauzito kila mwaka
LICHA ya mafanikio yaliyopatikana Tanzania, bado inakabiliwa na tatizo kubwa la vifo vya akinamama 8,000 kila mwaka kutokana na sababu zinazohusiana na ujauzito, vingi vikiwa vya vijijini.
Hayo yalibainishwa na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Kebwe Stephen Kebwe katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi , Iddy Kimanta.
Alisema hayo katika sherehe za makabidhiano ya vyumba vitano vya kisasa na vifaa vya upasuaji, zilizofanyika juzi kijijini Mwimbi...
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mtu mmoja, ng’ombe 71 Morogoro
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
MTU mmoja amefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa, akiwamo askari polisi mmoja baada ya kutokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Dihinda, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dihinda, Hariri Kilama, alisema tukio hilo lilitokea Desemba 11, saa 11 jioni.
Kwa mujibu wa Kilama, tukio hilo lilisababishwa na mfugaji mmoja aliyejulikana kwa jina...