Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watozwa Sh50,000 kwa kutupa taka ovyo

Halmashauri ya Mji Nzega mkoani Tabora, imewakamata watu 20 kwa tuhuma za kutupa taka ovyo na kuwatoza faini ya Sh50,000 kila mmoja.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ukitupa taka Ilala, faini Sh50,000

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imesema itawachukulia hatua watu wote wanaotupa takataka ovyo kwa kuwatoza faini ya Sh50,000 kwa kosa hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji watozwa 3,000/- kwa kila ng’ombe

WAFUGAJI wilayani Kilindi, Tanga, wameitaka serikali kuwatendea haki sawa na wakulima katika kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari za kata. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wafugaji hao walisema...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakuu wa mikoa wacharuka, faini ya Sh50,000

Mikoa mbalimbali nchini imeazimia kuwatoza  faini watu wote watu watakaobainika wakitupa taka ovyo ili kupambana na uchafuzi wa mazingira.

 

11 years ago

Mwananchi

Usiombee kuugua dengue, kipimo Sh50,000

>Wakati taharuki iliyosababishwa na mlipuko wa homa ya dengue ikiendelea kutikisa kila kona ya jiji, imebainika kwamba gharama za vipimo katika hospitali mbalimbali zinafikia Sh50,000, ikiwa ni tofauti kubwa na Sh1,000 kwa kipimo cha malaria.

 

10 years ago

Dewji Blog

Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu

1

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa kutupa kichanga

JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Theresia Matia (19) mkazi wa Kwamatiasi, Wilaya ya Kibaha, Pwani kwa tuhuma za kutupa mtoto mchanga. Tukio hilo limetokea  juzi, saa 3 usiku ambapo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kutupa kichanga porini

Kigoma. Mkazi wa  Kijiji  cha Muhunga  kilichopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma (Gloria Rubeben(20) anashikiliwa na  polisi  mkoani humo kwa kumtupa mtoto wake wa siku nne  katika kichaka na  hatimaye kufa baada ya kuungua na moto uliowaka katika kichaka hicho.

 

10 years ago

StarTV

Mama ashtakiwa kwa kutupa mtoto.

Mama mmoja nchini Australia anashtakiwa kwa kosa la jaribio la mauaji dhidi ya mtoto wake mchanga ambaye alikutwa akilia katika eneo alilotelekezwa kwenye mfereji unaopitisha maji machafu pembeni ya barabara mjini Sydney,ambapo Polisi wanakisia kuwa mtoto huyo alikuwa katika eneo hilo kwa siku tano.

Waendesha baiskeli walisikia sauti ya mtoto ikitokea kwenye eneo hilo siku ya jumapili.

Mwanamke huyo,Saifale Nai alitiwa nguvuni na Polisi baada ya msako uliodumu kwa saa kadhaa kwa kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani