Watozwa Sh50,000 kwa kutupa taka ovyo
Halmashauri ya Mji Nzega mkoani Tabora, imewakamata watu 20 kwa tuhuma za kutupa taka ovyo na kuwatoza faini ya Sh50,000 kila mmoja. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ukitupa taka Ilala, faini Sh50,000
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Wafugaji watozwa 3,000/- kwa kila ng’ombe
WAFUGAJI wilayani Kilindi, Tanga, wameitaka serikali kuwatendea haki sawa na wakulima katika kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari za kata. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wafugaji hao walisema...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakuu wa mikoa wacharuka, faini ya Sh50,000
11 years ago
Mwananchi14 May
Usiombee kuugua dengue, kipimo Sh50,000
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Mbaroni kwa kutupa kichanga
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Theresia Matia (19) mkazi wa Kwamatiasi, Wilaya ya Kibaha, Pwani kwa tuhuma za kutupa mtoto mchanga. Tukio hilo limetokea juzi, saa 3 usiku ambapo...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Mbaroni kwa kutupa kichanga porini
10 years ago
StarTV24 Nov
Mama ashtakiwa kwa kutupa mtoto.
Mama mmoja nchini Australia anashtakiwa kwa kosa la jaribio la mauaji dhidi ya mtoto wake mchanga ambaye alikutwa akilia katika eneo alilotelekezwa kwenye mfereji unaopitisha maji machafu pembeni ya barabara mjini Sydney,ambapo Polisi wanakisia kuwa mtoto huyo alikuwa katika eneo hilo kwa siku tano.
Waendesha baiskeli walisikia sauti ya mtoto ikitokea kwenye eneo hilo siku ya jumapili.
Mwanamke huyo,Saifale Nai alitiwa nguvuni na Polisi baada ya msako uliodumu kwa saa kadhaa kwa kupata...