Usiombee kuugua dengue, kipimo Sh50,000
>Wakati taharuki iliyosababishwa na mlipuko wa homa ya dengue ikiendelea kutikisa kila kona ya jiji, imebainika kwamba gharama za vipimo katika hospitali mbalimbali zinafikia Sh50,000, ikiwa ni tofauti kubwa na Sh1,000 kwa kipimo cha malaria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakuu wa mikoa wacharuka, faini ya Sh50,000
Mikoa mbalimbali nchini imeazimia kuwatoza faini watu wote watu watakaobainika wakitupa taka ovyo ili kupambana na uchafuzi wa mazingira.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ukitupa taka Ilala, faini Sh50,000
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imesema itawachukulia hatua watu wote wanaotupa takataka ovyo kwa kuwatoza faini ya Sh50,000 kwa kosa hilo.
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Watozwa Sh50,000 kwa kutupa taka ovyo
Halmashauri ya Mji Nzega mkoani Tabora, imewakamata watu 20 kwa tuhuma za kutupa taka ovyo na kuwatoza faini ya Sh50,000 kila mmoja. Â Â Â
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Dengue yaua watu 25,000 kila mwaka
Na Selina Wilson
WATU 25,000 wanapoteza maisha kila mwaka kutokana na ugonjwa wa homa ya dengue ulioenea katika nchi 110 duniani, ikiwemo Tanzania.
Hayo yalisemwa jana mjini Dar es Salaam na Mtaalamu wa Udhibiti na Ufuatiliaji Magonjwa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Geofrey Mchawa, katika mafunzo ya siku moja ya waandishi wa habari za afya kuhusu ugonjwa wa dengue.
Alisema takwimu zinaonyesha kuwa watu 50 hadi 390 wanaambukizwa ugonjwa huo kila siku duniani na kwamba kwa hapa nchini,...
11 years ago
Habarileo22 May
Mabasi yalipa 65,000/- kupuliza dawa ya dengue
MABASI yaendayo mikoani yanalipa Sh 65,000 kwa ajili ya kupuliza dawa ndani ya magari hayo ikiwa ni hatua ya kupambana na ugonjwa wa dengue nchini.
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19 AnandTechView Full coverage on Google News
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbWs4kgr9uT--oMoEBQ40izG9D2d4FFzF8ZIkR8oL1hW39LswEB8Jd2jd9xPbH5Nxtt73ZKS*PAnb3JJaA3fWPDf/mahaba.jpg)
UZURI WA SURA NA UMBO NI ADHABU, USIOMBEE
JAMANI nauona kabisa mwaka unakatika huu, kwa sababu tunapokutana leo hapa, zimebaki kama wiki mbili tu na ushee, tuingie kwenye ule mwezi ambao tunazisikiaga nyimbo za msimu wa Krismasi. Ukisikia tu Viva Christmas, ujue mwaka umeisha na kwa sisi wazazi unaanza kufikiria ada za shule!
Basi, nimekuwa nikikutana na watu wengi wanaolalamika kutendwa na wenza wao, wakihoji bahati mbaya waliyonayo, kwani kila wakiwapata wenzao,...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Sh50 milioni zasaidia watoto
Idara ya Ustawi wa Jamaii katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida mkoani hapa, imetumia Sh50 milioni kuhudumia watoto mbalimbali waishio kwenye mazingira hatarishi katika manispaa hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2013/14.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania