Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sh50 milioni zasaidia watoto

Idara ya Ustawi wa Jamaii katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida mkoani hapa, imetumia Sh50 milioni kuhudumia watoto mbalimbali waishio kwenye mazingira hatarishi katika manispaa hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2013/14.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UHAMISHO:Kumsajili Singano ‘Messi’ Sh50 milioni

Klabu ya Simba inatakiwa kufanya kazi kubwa na kufungua pochi ili kumshawishi mshambuliaji wake iliye na mgogoro naye wa kimkataba, Ramadhani Singano ‘Messi’ anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia.

 

9 years ago

Mwananchi

Zitto ahoji ahadi ya CCM ya Sh50 milioni kila kijiji

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema ahadi ya CCM ya kutoa mgao wa Sh50milioni kwa kila kijiji nchini, ni dalili za kutawanya ufisadi kwa kutumia fedha hizo.

 

9 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akizungumza juu ya Upungufu wa vitamini na Baadhi ya Madini muhimu kama Vitamini A, folate, Madini chuma Zinki na madini joto ni chazo cha vifo kwa Watoto chini ya miaka Mitano na chanzo kikubwa cha maradhi mbalimbali kote Duniani, kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Alliance for Iproved Nutrition (GAIN) ,Marc van Amerngen katika mkutano uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tafiti za bahari zasaidia wanawake Z’bar

TAASISI ya Sayansi za Baharini (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam visiwani Zanzibar imesema tafiti za maliasili ya bahari zimesaidia kupunguza tatizo la kadhia ya umasikini kwa wanawake...

 

10 years ago

Habarileo

Watoto milioni 169 watumikishwa

TAKWIMU zinaonesha kuwa idadi ya watoto wanaotumikishwa duniani imefikia milioni 169 na kati ya hao, wapo wenye umri wa miaka mitano, wanaotoka katika familia maskini. Kwa upande wa Tanzania, takwimu hizo zinaonesha asilimia 27.5 ya watoto wenye umri wa chini ya miaka 17, wamekuwa wakitumikishwa katika ajira hatarishi zikiwemo za kufanya kazi majumbani.

 

10 years ago

Habarileo

Watoto milioni 2 hawako shule

ZAIDI ya watoto milioni 1.7 wenye rika lengwa waliopaswa kuwepo shule, hawapo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kutoandikishwa, kuacha na kutoroka.

 

5 years ago

Michuzi

TAFITI ZA HOSPITALI YA KIBONG’OTO ZASAIDIA DUNIA KATIKA MAPAMBANO YA UGONJWA WA KIFUA KIKUU

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi, Madawa ya Kulevya na Kifua Kikuu na wataalam wakiwa wamevalia barakoa (mask) kujilinda na maambukizi ya Kifua Kikuu sugu kabla ya kuelekea kwenye wodi za wagonjwa wa Kifua Kikuu sugu katika Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ambukizi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi, Madawa ya Kulevya na Kifua Kikuu (kushoto) akizungumza na watoto wagonjwa wa Kifua Kikuu sugu wanaopata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto milioni 21 kupewa chanjo ya surua

Zaidi ya nusu ya wananchi kesho wanatarajiwa kuanza kupatiwa chanjo ya surua na rubella katika vituo vyote vya afya nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Watoto milioni 21 kuchanjwa kampeni ya surua, rubella

SERIKALI imesema inatarajia kuchanja watoto milioni 21 katika kampeni shirikishi ya chanjo ya surua na rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi 15 inayotarajiwa kuanza kesho hadi Ijumaa ijayo. Lengo la kampeni hiyo ni kupunguza vifo na madhara yatokanayo na magonjwa hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani