Tafiti za bahari zasaidia wanawake Z’bar
TAASISI ya Sayansi za Baharini (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam visiwani Zanzibar imesema tafiti za maliasili ya bahari zimesaidia kupunguza tatizo la kadhia ya umasikini kwa wanawake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3aDz2jokhhw/XmM0yoc3evI/AAAAAAALhqc/AK8fNF96bo8VuQkqoPHI56ezY6UQRngtgCLcBGAsYHQ/s72-c/6-768x512.jpeg)
TAFITI ZA HOSPITALI YA KIBONG’OTO ZASAIDIA DUNIA KATIKA MAPAMBANO YA UGONJWA WA KIFUA KIKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-3aDz2jokhhw/XmM0yoc3evI/AAAAAAALhqc/AK8fNF96bo8VuQkqoPHI56ezY6UQRngtgCLcBGAsYHQ/s640/6-768x512.jpeg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/7.jpeg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi, Madawa ya Kulevya na Kifua Kikuu (kushoto) akizungumza na watoto wagonjwa wa Kifua Kikuu sugu wanaopata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya...
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Matokeo ya Tafiti kuondoa adha ya wanawake watumia kuni
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mhe. Stephen Masele.
Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA
Tafiti mbalimbali zimefanyika na zinaendelea kufanyika ili kupata majiko mbadala yasiyotumia nishati ya kuni hapa nchini.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mhe. Stephen Masele wakati akijibu swali la msingi la Mhe. Amina Makilagi, mbunge wa Viti Maalum iliyehoji matumizi ya tafiti za kupata majiko mbadala
“tafiti hizi zinahusu...
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wanawake wameaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari kwa kupata elimu na mafunzo ya sekta hiyo ambayo ni msingi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GvMxvlxOWag/VFBgXK1KM7I/AAAAAAACt3A/QSBzB9SaxGM/s72-c/001.jpg)
Wanawake waaswa kutumia fursa iliyopo katika sekta ya bahari.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GvMxvlxOWag/VFBgXK1KM7I/AAAAAAACt3A/QSBzB9SaxGM/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-njGPDCr1ixQ/VFBggaV9HfI/AAAAAAACt3g/PITBHsZCDvA/s1600/005.jpg)
9 years ago
Habarileo21 Dec
Kamati yasaka timu za wanawake Z’bar
KAMATI ya Maendeleo ya Soka la Wanawake imesema kuwa inajipanga kuelekeza nguvu zake vijijini ili kuongeza idadi ya timu za mchezo huo kwa wanawake.
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Talaka zazidi kuwatesa watoto, wanawake Z’bar
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Sh50 milioni zasaidia watoto
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_00811.jpg?width=640)
ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI