Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI‏

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki. UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni

DSC_0081

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

UTAFITI uliofanywa  na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women  umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...

 

11 years ago

Michuzi

Elimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi

Na Anna Nkinda - Washington
Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria  hafla fupi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Asilimia 70 ya wakazi Jiji la Mwanza wanaishi milimani

“Watu wengi tunakimbilia kuishi milimani kwa sababu tunapata viwanja kwa bei nafuu; pia tunaepuka mizunguko mingi tukitaka kununua viwanja kwenye maeneo ambayo siyo ya milimani.”

 

11 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA: SANAA HAILIPI, WENGI WANAISHI MAISHA YA KUIGIZA!

SOKO la filamu limekua, maisha ya vijana wengi yamebadilika kutokana na sanaa hiyo. Hata hivyo bado kuna changamoto kadhaa; malipo ya wasanii na mikataba mibovu imeendelea kuwa kilio kwao. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba Hilo linawafanya waendelee kubaki palepale licha ya kupanda kwa hatua nyingi takriban miaka saba iliyopita. Sinema kwa sasa, imebaki kuwa na manufaa zaidi kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAWAKE WASOMI WA SAYANSI WANAISHI KWA RAHA NA HAWAZEEKI

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (Must), Scholastica Loppa anasema asilimia kubwa ya wanawake au wasichana wanaosoma sayansi ni wazuri na hawazeeki.
Akiwa ndani ya mavazi ya kawaida, mweupe kwa rangi ya mwili huku kichwa chake kikiwa kimesheheni nywele nyeusi za asili zisizo na hata chembe ya kemikali, Loppa alikuwa na mengi ya kuwaeleza watu.Masomo ya sayansi hayazeeshi si mnaniona mimi hapa? Napendeza, sipendezi? alihoji mhadhiri huyo mbele ya umati uliofika kwenye...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE‏

Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM,  Denis Ssebo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habri Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni Mtangazaji, Dina Marios. Na Dotto Mwaibale KITUO cha Redio cha EFM kimeamua kuendelea kufanya tamasha la muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Filamu yasimulia maisha mitaa duni Kenya

Kundi la vijana nchini Kenya wametayarisha filamu inayosimulia maisha katika mitaa ya mabanda wakitumia simu za mkononi.

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Asilimia 15 ya wanawake hukeketwa

>Jana dunia iliadhimisha Siku ya Kutokomeza Ukeketaji. Lengo hasa la uwepo wa siku hiyo ambayo kwa kawaida huadhimishwa kila mwaka ifikapo Februari 6, ni kutafakari njia zaidi ya kupambana na changamoto za ukeketaji.

 

10 years ago

Vijimambo

Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea

Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitambulishwa wake wa marais kutoka nchi mbalimbali za Afrika na Mkewe mama Margaret Kenyatta kabla ya kufungua mkutano wa tisa wa Jukwaa la wake wa marais wa Afrika la kutokomeza magonjwa ya saratani za mfumo wa uzazi ambazo ni mlango wa kizazi, matiti na tezi dume unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Kenyatta (KICC) uliopo mjini Nairobi. Kushoto ni Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.Na Anna Nkinda –...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani