WANAWAKE WASOMI WA SAYANSI WANAISHI KWA RAHA NA HAWAZEEKI

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (Must), Scholastica Loppa anasema asilimia kubwa ya wanawake au wasichana wanaosoma sayansi ni wazuri na hawazeeki.
Akiwa ndani ya mavazi ya kawaida, mweupe kwa rangi ya mwili huku kichwa chake kikiwa kimesheheni nywele nyeusi za asili zisizo na hata chembe ya kemikali, Loppa alikuwa na mengi ya kuwaeleza watu.Masomo ya sayansi hayazeeshi si mnaniona mimi hapa? Napendeza, sipendezi? alihoji mhadhiri huyo mbele ya umati uliofika kwenye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 May
‘Wanawake wasomao sayansi wazuri, hawazeeki’
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...
10 years ago
GPL
ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Tanzania ‘yajifagilia’ kuwa na wanawake wasomi
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Albino bado wanaishi kwa hofu TZ
11 years ago
Michuzi12 Jul
NYUSI AJINADI KWA WANAMSUMBIJI WANAISHI ZANZIBAR



10 years ago
GPL
ISABELA: MASTAA WA KIKE BONGO WANAISHI KWA KUUZA MIILI YAO
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!
Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.
“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10