Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAWAKE WASOMI WA SAYANSI WANAISHI KWA RAHA NA HAWAZEEKI

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (Must), Scholastica Loppa anasema asilimia kubwa ya wanawake au wasichana wanaosoma sayansi ni wazuri na hawazeeki.
Akiwa ndani ya mavazi ya kawaida, mweupe kwa rangi ya mwili huku kichwa chake kikiwa kimesheheni nywele nyeusi za asili zisizo na hata chembe ya kemikali, Loppa alikuwa na mengi ya kuwaeleza watu.Masomo ya sayansi hayazeeshi si mnaniona mimi hapa? Napendeza, sipendezi? alihoji mhadhiri huyo mbele ya umati uliofika kwenye...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Wanawake wasomao sayansi wazuri, hawazeeki’

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (Must), Scholastica Loppa anasema asilimia kubwa ya wanawake au wasichana wanaosoma sayansi ni wazuri na hawazeeki.

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni

DSC_0081

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

UTAFITI uliofanywa  na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women  umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...

 

10 years ago

GPL

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI‏

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki. UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania ‘yajifagilia’ kuwa na wanawake wasomi

Tatizo la wanafunzi wa kike kutochangamkia au kutoyapenda masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) ni tatizo linalozikumba nchini nyingi duniani zikiwamo zilizoendelea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Albino bado wanaishi kwa hofu TZ

Kampenzi kubwa imezinduliwa nchini Tanzania,ikiongozwa na Raisi Jakaya Kikwete,kutafuta fedha kwa ajili ya kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi maarufu kama albino.

 

11 years ago

Michuzi

NYUSI AJINADI KWA WANAMSUMBIJI WANAISHI ZANZIBAR

 Mgombea wa Urais wa Msumbiji kupitia chama cha FRELIMO Mh.Filipe Nyusi akipokea zawadi kutoka kwa Jumuiya ya watu wa Msumbiji wanaoishi Zanzibar.Mgombea wa Urais wa Msumbiji kupitia chama cha FRELIMO Mh.Filipe Nyusi akizungumza na Wananchi wa Msumbiji wanaoishi Tanzania ambapo alitumia fursa hiyo kuwaomba wampigie kura kwani amekuja na mikakati mizuri ya kuboresha uchumi ambapo amedhamiria kuiondoa Msumbiji kwenye orodha ya nchi masikini,pia aliahidi kuwawezesha wakina Mama wa Msumbiji.

 

10 years ago

GPL

ISABELA: MASTAA WA KIKE BONGO WANAISHI KWA KUUZA MIILI YAO

IMEBAINIKA kuwa asilimia kubwa ya mastaa wa kike Bongo Muvi wanaishi kwa kuuza miili yao, Risasi Jumamosi linakupa mchapo kamili. Akizungumza na waandishi wetu, msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza. Msanii wa filamu na muziki Bongo,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!

Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.

“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani